CV ya Mkuu wa jeshi la polisi

CV ya Mkuu wa jeshi la polisi

Hebu uache uongo mkuu! University of Dar es salaam mwaka 1987 walikuwa wanatoa certificate ya sheria?

Pia alikudanganya nani kuwa ukimaliza certificate hiyo hapo UDSM unakuwa eligible kujiunga na Shahada?

Nachojua sheria ngazi ya chet imeanza juzi juzi tu hapo ud na kwa uelewa wangu huwezi kutoka cerficate direct degree bila diploma naomba mnijuzeee
 
Wakuu naomba tujue CV ya mkuu wetu wa jeshi la polisi nchini,yeyote anayejua CV yake atusaidie,ili tujue hawa polisi wanaongozwa na watu wenye elimu gani!
Hiyo CV ikipatikana inaweza ikazua mjadala mpya.
 
Usitoe majibu tu sababu kuna swali take time to analyse what you say, waweza kuwa unazidisha ukakasi tu!!!!

"Use of reasonable force" inaweza kuwa triggered na "miscommunication"?????
Una uhakika????!!!

Mkuu hawa wapuuzi hawakutumia “Reasonable Force” wametumia “ Unreasonable force” tena WITHOUT BEING PROVOKED THEY ARE ALL CROOKS AND HOOLIGANS
 
Wakuu naomba tujue CV ya mkuu wetu wa jeshi la polisi nchini,yeyote anayejua CV yake atusaidie,ili tujue hawa polisi wanaongozwa na watu wenye elimu gani!

halafu ukishajua cv yake? We unadhani ni kilaza kama wewe! Unaweza kuwa na PHD na ukawa ovyo kifikra kuliko hata huyo Prof Lipumba..fu unayemtetea au ukawa mwizi tu!
 
Degree ya sheria ngazi ya cheti ni nini???!!!

hajuia hata anachosema. Cheti cha sheria UDSM wameanza kutoa muda mrefu sana, na swala la kwenda digrii baada ya cheti liko hivi.
1.Pass with distinction.
2.Pass halafu ukiwa na elimu ya form six au form four, unafanya premature entry masomo ya mwaka mmoja tu ukifaulu unaanza digrii.
3. Ukipata diploma yake.
Hivyo inawezekana tu wala sio ishu.
 
LLB (UDSM) LLM(UK) postgraduate (USA) intelligence training (Israel;Russia;China)...need I say more?
Wakuu naomba tujue CV ya mkuu wetu wa jeshi la polisi nchini,yeyote anayejua CV yake atusaidie,ili tujue hawa polisi wanaongozwa na watu wenye elimu gani!
 
Back
Top Bottom