CV ya Mkuu wa jeshi la polisi

CV ya Mkuu wa jeshi la polisi

CV ya boss inaweza kuwa nzuri ila mapolisi wa chini ni vichwa maji hata uwaeleze vipi wanafanya yao
 
Nachojua sheria ngazi ya chet imeanza juzi juzi tu hapo ud na kwa uelewa wangu huwezi kutoka cerficate direct degree bila diploma naomba mnijuzeee

nw udsm ukipat ufaul wa juu kabsa km A5 unaendelea na degree,
ud hakun diploma ya sheria
swali: wakati huo anasoma ernest kulikuwa hakun cert ya sheria,anaongopea umma
 
Nyie si lazima kuwa na degree mpaka uwe umepitia form six, ukifaulu certificate ukafulu vema unaweza ukaendelea na first degree

Mh!!! Me ndo nackia kwako at the first time.
 
Mh!!! Me ndo nackia kwako at the first time.

Humu namo kuna mizigo kama hii.Yenyewe ni kubofya tu keypads za simu mambo mengine hawayajui eti ndiyo kwanza nasikia.Alishazoea spoon feeding
 
nw udsm ukipat ufaul wa juu kabsa km A5 unaendelea na degree,
ud hakun diploma ya sheria
swali: wakati huo anasoma ernest kulikuwa hakun cert ya sheria,anaongopea umma

Nashukuru sana mkuu kwa kufafanua vizuri sio wengine wanawaza kupitia matako Mimi niliuliza vizuri nashukuru umenielewa nyie ndio mnatakiwa kuwa viongozi wa nchi safii sana
 
IGP mteule Ernest Jumbe Mangu alizaliwa mwaka 1959 mkoani Singida na alipata elimu ya Sekondari katika Shule ya Tumaini mwaka 1981.
By :

Alijiunga na Jeshi la Polisi katika Chuo cha Polisi Moshi (CCP) tarehe 17 mwezi Agosti mwaka 1982 na kuhitimu mwezi Juni mwaka 1983 ambapo alipata mafunzo ya awali ya Polisi.

Mwaka 1987 alipata mafunzo ya sheria kwa ngazi ya cheti katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwezi Novemba mwaka 1992 alitunukiwa shahada ya kwanza ya sheria (LLB) katika Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Mwezi Juni mwaka 2010, alitunukiwa shahada ya udhamili katika masuala ya usalama katika Chuo Kikuu Cha Usalama cha Marekani.

Akiwa ndani ya Jeshi la Polisi amepandishwa vyeo mbalimbali ikiwemo Koplo wa Polisi (1988), Mkaguzi Msaidizi wa Polisi (1992), Mkaguzi wa Polisi (1995), Mrakibu Msaidizi wa Polisi (1997), Mrakibu wa Polisi (2002), Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (2004), Kamishna Msaidizi wa Polisi (2006), Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi (2010), Naibu Kamishna wa Polisi (2013) na Kamishna wa Polisi (2013).

Amewahi kufanya kazi kama Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Mwanza, Kamanda wa Polisi katika mikoa ya Pwani na Mwanza na Kamishna wa Intelijensia ya Jinai.

Hii njia ngumu aliyoitumia huyu kamanda kupata elimu tunaiita COMPLETE METAMORPHOSIS. Watu waliosoma kwa taabu kama Mangu Ni vigumu sana kukataa amri za wanasiasa kwa vile hayuko secured
 
hajuia hata anachosema. Cheti cha sheria UDSM wameanza kutoa muda mrefu sana, na swala la kwenda digrii baada ya cheti liko hivi.
1.Pass with distinction.
2.Pass halafu ukiwa na elimu ya form six au form four, unafanya premature entry masomo ya mwaka mmoja tu ukifaulu unaanza digrii.
3. Ukipata diploma yake.
Hivyo inawezekana tu wala sio ishu.

Umeanza vibaya umemaliza vizuri,niliuliza swali sio najua nilikuwa nahitaji fahamu so kabla hujajibu swali rudia Mara ya Pili sio kukurupuka
 
Nachojua sheria ngazi ya chet imeanza juzi juzi tu hapo ud na kwa uelewa wangu huwezi kutoka cerficate direct degree bila diploma naomba mnijuzeee

Haaaa haaa, interesting! Certificate to degree?! Usalamani inawezekana siyo kwa prospectus wakuu
 
msisahau kwamba vyombo vya dola (police,jeshi,magereza,uhamiaji n.k) vipo kwa ajili ya maslahi ya "the haves" na sio "have nots" ukishalielewa hili fanya yako mind your business live your life maana hii system ilikua hivyo,ipo hivyo na itaendelea kua hivyo.Ile definition ya "government" ya Lincoln neno "people" linamaanisha "the haves" na sio wewe unaelalamika hapa,fanya yako usiruhusu kuumizwa zaidi
 
Back
Top Bottom