mukizahp2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 705
- 378
nakusamehe sababu umejiunga leo humu kwenye jukwaa,sasa ni hivi kabla hauja post mada yoyote fanya research kwanza,,jay kamaliza form 6 lutengano mbeya,na pili anakuja cdm sio kwa sababu ya elimu yake,jay ashajijenga sana,sasa anakuja kulilia haki zake ,na kujiandaa kuwa mbunge 2015