CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

nakusamehe sababu umejiunga leo humu kwenye jukwaa,sasa ni hivi kabla hauja post mada yoyote fanya research kwanza,,jay kamaliza form 6 lutengano mbeya,na pili anakuja cdm sio kwa sababu ya elimu yake,jay ashajijenga sana,sasa anakuja kulilia haki zake ,na kujiandaa kuwa mbunge 2015
 
Mawazo au mazungumzo ya prof jay, ni ya maana kuliko ht mnaowapigia makofi kila siku, besides, kuna shida gani mtu kuwa mwanachama wa chama akipendacho? Ccm ndo kuna wasomi?
 
Ukiandika kama hii unapata kazi pale B.O.T, na computer literacy ni...i have been watch MANDINGO for all time!

Hahaha...so watching what so called "Mandingo" ndiyo upo computer literate!! khaa
 
Mnalilia usajili wa CDM?cdm hawachukui vyeti tuu ni makaratasi tuu..Mlisema kwa Sugu na Lema.Sasa hivi Lema akijisikia kuona Bi mkora akitikisa mwili ,humwambia tuu "Vipi niltete ushihidi upi wa waziri Mkuu kudanganya bunge, au wa mdini", mama anatikisa anamwambia wewe..Mheshimiwa siku nyingine....

CDM huwa hawafanyai usajili uliozidi bila maana, huwa wana sajili strategically, na wana wanachukua wana mikakati.Chie chukueni vyeti, na siku hizi kuna wanafunzi waliopitishwa kwa mikakati hata wakipiga zero.Hivi pale Moro wana Disco wanafunzi wangapi?
 
Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew – Chemsha Bongo. Professor Jay anatokea kundi la Hard Blasters Crew. Kundi hili ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huu ambao hujulikana kama ‘muziki wa kizazi kipya’ kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa Tanzania.
Maisha ya muziki

Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 90 hivi na alijiunga na kundi la ‘Hard Blasters Crew’(HBC) mnamo mwaka 1994. Mwaka 1995 Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini Tanzania. Jay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo ‘Funaga Kazi’ mwaka 2000 Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama ‘Chemsha Bongo’ na ‘Mamsapu’ ambazo zilichangia kufanya muziki wa ‘Bongo Flava’ kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huu ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.


Msanii Binafsi


Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo 2001 na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo “Machozi Jasho na Damu”. Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata tuzo ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nyimbo yake ya ‘Ndio Mzee’ kutoka kwenye albamu hiyo. na ikifuatiwa na Nyimbo ya “Piga Makofi na Bongo Dar es Salaam”
Mwaka 2003 Alitoa albamu ya pili iitwayo “Mapinduzi Halisi” ambayo nayo ilishinda tuzo ya Kili Music Awards kuwa albamu bora ya Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania kwa mwaka 2003. Albamu hii imebebanNyimbo kama “Zali la Mentali”, “Msinitenge,” na “Promota Anabeep”
Mwaka 2006 Januari alitoa albamu ya tatu iliyoitwa “J.O.S.EP.P.H”. Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka Mwanzo kabla ya Albamu kutoka. Nyimbo hii ilichaguliwa kuwa nyimbo bora ya Bongo Flava kwenye BBC na Radio One Awards.
Mpya imewahi kuteuliwa kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , Mtunzi bora wa nyimbo za Hip Hop, na Nyimbo bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. 2006.”Nikusaidieje”. na Baadae Kisima Music Awards ya Kenya ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini Tanzania.
Tuzo Alizopata


  • 1 Kili Music Awards ( 2003 )
  • 2 BBC, Radio One Awards ( 2006 )
  • 3 Kili Music Awards ( 2006 )
Muhtasari wa Albamu


  • 1 Aluta Continua ( 2007 ) Ipo Njiani Kutolewa
  • 2 J.O.S.E.P.H. ( 2006 )
  • 3 Mapinduzi Halisi ( 2003 )
  • 4 Machozi Jasho na Damu ( 2001 )

Education
Standard IV



My take

Chadema mmekula garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer
Prof Jay kajiunga CDM na wewe umejiunga JF! What a coincidence?
 
Kwakweli hata jina la profesa halimfai tena Kumbe ameishia darasa la nne khaaaaaaA

Bora u prof unaotambuliwa na jamii kwa kazi yako kuliko watu wanaopeana phd za mezan hawana postv impacts yyt zaid ni kuiba tu!
 
sisi darasa la saba tusubiri kupata kura na kuwasukuma na magari yenu mkija kutushawishi tuwachague....
 
nyie ndio mnaotusababisha watu tupigwe ban?
unatuletea ukuu-manniner hapa.!
 
Yule msanii wenu tegemeo Diamond nae amesema amechoshwa na CCM, yeye ana elimu gani?

chadema ni chama cha wote, maskini,wasomi na wasio wasomi,matajiri na maskini,wafanyabiashara kubwa hadi machinga, wakulina na wafanyakazi...tofauti yake na ccm..imekuwa ya polisi na viongozi walioko madarakani, wauza meno ya tembo na twiga walio hai, mafisadi, waombaji na wapokea rushwa, wauza mihadarati, wenye elimu za mezani, wang'oa kucha na wabambikiaji wa kesi kwa wananchi....chadema kila mtanzania ana nafasi....
 
Joseph Haule a.k.a Professor Jay (amezaliwa tar. 29 Desemba 1975) ni msanii wa muziki wa hip hop laini kutoka nchini Tanzania. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Professor Jay. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza muziki wa Bongo Flava. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la Hard Blasters Crew – Chemsha Bongo. Professor Jay anatokea kundi la Hard Blasters Crew. Kundi hili ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huu ambao hujulikana kama ‘muziki wa kizazi kipya’ kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa Tanzania.
Maisha ya muziki

Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo miaka ya 90 hivi na alijiunga na kundi la ‘Hard Blasters Crew’(HBC) mnamo mwaka 1994. Mwaka 1995 Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini Tanzania. Jay na HBC walitoa albamu ya kwanza iitwayo ‘Funaga Kazi’ mwaka 2000 Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini Tanzania. Albamu hii yenye ujumbe mzito ina nyimbo kama ‘Chemsha Bongo’ na ‘Mamsapu’ ambazo zilichangia kufanya muziki wa ‘Bongo Flava’ kuwa wa kila rika na kupewa heshima. Kabla ya hapo muziki huu ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni.


Msanii Binafsi


Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo 2001 na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo “Machozi Jasho na Damu”. Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata tuzo ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nyimbo yake ya ‘Ndio Mzee’ kutoka kwenye albamu hiyo. na ikifuatiwa na Nyimbo ya “Piga Makofi na Bongo Dar es Salaam”
Mwaka 2003 Alitoa albamu ya pili iitwayo “Mapinduzi Halisi” ambayo nayo ilishinda tuzo ya Kili Music Awards kuwa albamu bora ya Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania kwa mwaka 2003. Albamu hii imebebanNyimbo kama “Zali la Mentali”, “Msinitenge,” na “Promota Anabeep”
Mwaka 2006 Januari alitoa albamu ya tatu iliyoitwa “J.O.S.EP.P.H”. Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka Mwanzo kabla ya Albamu kutoka. Nyimbo hii ilichaguliwa kuwa nyimbo bora ya Bongo Flava kwenye BBC na Radio One Awards.
Mpya imewahi kuteuliwa kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , Mtunzi bora wa nyimbo za Hip Hop, na Nyimbo bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. 2006.”Nikusaidieje”. na Baadae Kisima Music Awards ya Kenya ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini Tanzania.
Tuzo Alizopata


  • 1 Kili Music Awards ( 2003 )
  • 2 BBC, Radio One Awards ( 2006 )
  • 3 Kili Music Awards ( 2006 )
Muhtasari wa Albamu


  • 1 Aluta Continua ( 2007 ) Ipo Njiani Kutolewa
  • 2 J.O.S.E.P.H. ( 2006 )
  • 3 Mapinduzi Halisi ( 2003 )
  • 4 Machozi Jasho na Damu ( 2001 )

Education
Standard IV



My take

Chadema mmekula garasha
sijui kama Prof Jay anajua hata kuandika au kutumia computer

kati ya wapumbavu wewe ni namba moja kwani huwezi kumjaji mtu kwa elimu yake na utendaji japo siamini kama ni elimu yake kweli, pia ccm ina maprofesa, maDR, na hata degree holder wangapi ila utendaji wao ni mbovu kama nini kana kwamba hata angekuwa ni mtu ambae hajapata hata elimu ya msingi hawezifanya upumbavu na ujinga kama kama wanaofanya ccm sasa
 
P jay bora aendelee kuimba lakini siasa hawezi sababu elimu yake ni sawa na darasa la saba kwa maisha ya siku hizi.Asifikiri kupata ubunge ni kazi ndogo,mwenzake MR SUGU kichwa kile.Asijidanganye sababu SUGU kapata ubunge basi na yeye atapata hizo ni day dreaming.Kaona muziki umemkataa anataka kukimbilia kwenye siasa aandike ameumia

Wewe wasema nadhani hata sugu alipoingia kwenye siasa utakuwa ulibongo upuuzi kama huu na sasa unamkubali
 
Najaribu kuimagine kama leo J angetangaza kujiunga ccm mngeongea nini..,?Jay ndo habari ya mujini maana alishawahi Kalapina kujiunga na cuf haikumake headline kama hii.
Aliwahi kucheza kiduku Marlaw kwenye kampeni za jk haikuwa na impact yöyote.
Hata Nakaya kurejea ccm haikusound ila leo kifaa kimepiga hiroshima wodi zote zimefurika wagonjwa. Prof huko uliko nakuongezea majina.We ni TRANSFOMA,HIROSHIMA,NAGASAKI,HAVARD,V8,7STAR GENERAL,NGULI,JUMBO JET,
 
Anayempinga J atoe hoja kwa kujibu hoja zifuatavyo

1. Kuna watu ni madokta lakin hawana PhD na naamin mnawajua

2. Katika nchi za wenzetu J angekuwa ameshapewa degree kadhaa za heshima

3. Kufanya muziki wa hiphop kukubalika bongo ni zaidi ya wale vilaza wenye degree za kufoj kwenye makaratas

4. Elimu ni jinsi unavyosaidia jamii sio kutumia vyeti kuwanyonya wananchi
 
Kuna elimu na madarasa hivi vitu viwili unaweza ukasema vinaendana kumbe sio lazima.So unaweza kuwa na elimu bila madarasa ona mifano kama wakina Shigongo,Mrisho mpoto na wengine kibao ambao hawana elimu ila wanawakimbiza kimapato hata maprofesa.Elimu ni tofauti sana na madarasa jamani ni uwezo wa kuweza kumudu nature na kutatua matatizo mbalimbali so kama prof Jay ni darasa la nne basi anastaili kujiita Profesal kwa yale aliyoyafanya na anayoyazungumza kwenye nyimbo zake.
NA NYIE WASOMI WENYE CHUKI NA MAENDELEO YA WATU ACHENI ULALAMISHI NA NDIYO MAANA MNAISHIA KUTUMIWA VIBAYA NA WANASIASA.
 
Namshangaa huyu jamaa!!! Wakati vigogo wa CCM washatambua tayari ni pigo,

_p.jay tayri ni kioo cha jamii kuna mamia kaama na japo hujawaona.
_kuna watu waliamini msanii hawezi kujionyesha wazi msimamo wake kwa sababu za kiusalama,sasa nawao wamebumburuka

NB:Kuna watu wako CHADEMA kwasababu ya kum-suport Sugu





ZiNdUkA mkuu
 
Masomi ya bongo ni malalamishi na yana wivu sana ndiyo maana unakuta yanawachukia walitusua maisha kama wakina diamond kwa kumvumishia jamaa mara free mason mara wamuite Domo,wanamchukia shigongo na kampuny yake ya global publisher.Jamani tudhihirishe usomi wetu kwa kufanya mambo makubwa ya maana tuache majungu na wivu.
 
sasa mbona unatoka kamasi
hivi dalasa la nne uneweza kujua kutumia komputer au kuandika?

We pumba. Vu kwani form four ndiye anyejua kutumia computer au kuandika? Au form six? Huwezi jua bila kwenda computer corse we gamba.
 
Back
Top Bottom