Mleta mada bado huja fafanua hizo TTN/UMWET NA CHAKEMWATA ni vitu gani ati.
NAWAONYA WALIMU, MKIGAWANYIKA HATA KILE KIDOGO MNACHO DAI HAMTAKIPATA!!! period.
1. Jiulizen kwa nini serikali imeleta leo kufanya hivyo ( soma hivi... kudhoofisha umoja wa vyama vya wafanyakazi) jitahidini baada ya kazi ya kufundisha mjisomee na msome nyakati na katikati ya mistari!!!
2. Matatizo ya CWT yanaweza kutatuliwa na ni kipindi cha kureform vyama vya wafanyakazi kwa sasa, ila siyo muda mwafaka wa kuviua.
3. Wingi wa members hasa sector ya elimu na afya ni nguvu ya kutisha kwa mwajiri ikiwemo na serikali yenyewe.
Mwisho kabisa nikumbushe ni kwanini JK alimtaja sana Mgaya, akakataa kura za walimu, kisha akabadili maneno akaziomba?
Nguvu ya umma ni pamoja na vyama vya wafanyakazi vyenye nguvu.
kalagha baho!!
SP