Matunda ya TTN/UMET yanaendelea kuonekana. Serikali imetoa Waraka kuwa Tarehe 30/6/2013 ni mwisho wa CWT kukata mishahara ya Walimu. Viongozi wa CWT wanazunguka kuwataka Walimu wajaze Fomu no:T.U.F.6 ili waendelee kukatwa mishahara yao,Ewe Mwalimu,kataa unyonyaji huu.TTN/UMET/CHAKEMWATA ni mkombozi wako.Tuma ujumbe huu kwa walimu wengi uwezavyo. KWA PAMOJA TUMESHINDA!
Ujumbe huo unaendelea kusambazwa na walimu. CWT inaelekea kufa.
Ujumbe huo unaendelea kusambazwa na walimu. CWT inaelekea kufa.