CWT wameishiwa ubunifu, Mei Mosi kuvaa sare inayoendana na ya TLP

Acha kukurupuka wewe.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Huu nao ni uharo tu.
Nilichojifunza kwako,huna unachokijua kuhusu utumishi wa umma&miundo yake kitaaluma&kimaslahi.
 
Sasa mbona hiyo kada haibadiliki, hata kudai haki zao hawawezi, wanachoweza wao ni saidia ccm ishinde.
Hawa jamaa shida haijaanzia kazini, nafikiri shida imeanzia vyuoni!

namna wanavyoendesha maisha yao huko vyuoni ni namna ya kushangaza sana.
 
Hivi Mei mosi ni kwa ajili ya walimu tu? maana nawaona ndiyo wanahisi kama wao ni watumishi pekee nchi hii.
Nadhani sababu wako wengi sana!
Hata tshet zao huwa zinaendelea kuonekana baada ya Mei mosi!
 
Unaongea Kama unahara eti, Nenda kaulize Duce Kama kuna mtu anatia maguu na div2, ukipewa ofa basi ni 2 ya 10.sasa hizo data zako sijui unazitoa wapi?
 
Hayo ni ma tshirt ya bei rahisi..kama yeboyebo vile
 
Angalia jinsi unavyokosolewa na wadau.
Wadau walimu wanajitetea, what do you expect? I expected this response. Nani kakwambia niko hapa kusifiwa,ndiyo faida ya anonymity, unasema ukweli wako toka rohoni mradi usiseme uongo au kutukana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…