Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Best replay ever. Kula tano ccm nima zero kichwani Kaka.
 
Hatari ni musiba mwenyewe anataka kujipatia umarufu kupitia majina muhim ktk nchi

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Inasadikiwa kuwa huyu Musiba ni askari kanzu.

Je ni maadili kwa kwa askari kanzu kutoa siri hadharani?

Je hao waliotajwa watachukuliwa hatua gani na vyombo vya dola?

Je Musiba ana ushahidi ?
 
WANTED! Hasa hao walioko ughaibuni! Ndo wa kutaftia dawa!
Sad! Mpumbavu moja anachonganisha Tanzania na Marekani mchana kweupe halafu anachekewa na watawala. Akiambiwa atoe prove ya madai yake hayo na Marekani atamudu?
 
eti FBI ni shirika la kijasusi? na CIA ni shirika la nn sasa...kama tu kashindwa kutofautisha utendaji kazi wa ayo mashirika mawili basi anachokiongea wala akina ukwel wowote!!! huyu musiba kweli kafikwa na msiba wa ubongo wake...LOL

Sent from my Redmi 3X using JamiiForums mobile app
 
majina na maelezo atakuwa ameandikiwa na bashite pamoja na le kibamia.....ukisikiliza vizuri kuna utagundua ni muunganiko wa vipanga hao wawili
 
Huyo MSIBA Kafanyeje?Naomba pia Kuuliza.Ndio Yule aliyekuaga MAGIC FM Michezo?Maana kuna Mijitu Inajitokeza Kipindi hiki kwa Kasi ya Hatari.Halafu Nyuma yana Makandokando Chungu Nzima
Ndio huyo huyo
 
Yeyote anaependelea Kanda ya ZIWA tuu na kuwatelekeza WA Kanda ya TAKO.na kusahau kwamba viungo vyote vina matumizi kwenye mama tanzania
 
True yani uiambie Germany inazalisha magaidi
 
Asiyepiga kura...wakala msaliti..na kibaraka anayefanya kazi kwa maslahi ya mteuzi wake hawa wanastahili wafinge mawe shingoni watupwe baharini
Utamlaumi vipi kiongoxi ambaye hujamxhagua ? Kama unazigezo piga kura..
 
6 Anayesema kwamba watu wa Mwanza ni wapiga kura wake.
 
musiba anawasha moto kwa Mange ili Mange amgeukie yeye watu wasahau maandamano ya 26/4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…