Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

FDqNxhUWQAANsN3.jpg
 
Nafikiri wanatekeleza taratibu za kisheria zinazotakiwa kabla ya bwana musiba kwenda kuziba pengo lililoachwa wazi na Sabaya hujo magerezani.


Baada ya kukamilisha hatua hii, mahakama itaidhinisha utaratibu wa mali za Musiba kupigwa mnada. Itakapoonekana hana mali ya kufikia hiyo thamani atapelekwa gerezani.

Bilioni 9 ni parefu sana. Ingekuwa mikuoni 90, labda wenzake, Makonda na Sabaya wangemchangia. Lakini bilioni 9, ajiandae kisaikolojia kwenda jela.

Funzo zuri sana kwa machawa wa watawala.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.

Chanzo: Swahili Times
Kimenukaaaaa
 
Back
Top Bottom