Mama Tibaijuka naye anamdai vijisenti...Huyu mwaka huu kama hawajampakata wahuni sijui!!!
Yule mtetezi wa lgbtq wa kizanzibaa mtoto wa mstaafu alishampa chake?maana nakumbuka kusoma humu nae alitakiwa kulipwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Tibaijuka naye anamdai vijisenti...Huyu mwaka huu kama hawajampakata wahuni sijui!!!
Yule mtetezi wa lgbtq wa kizanzibaa mtoto wa mstaafu alishampa chake?maana nakumbuka kusoma humu nae alitakiwa kulipwa
Anazo?
Hi Dunia usipokuwa na akiba ya maneno utahangaika Sana.
Chawa wa Magufuli sponsor kafa [emoji38]
🤣🤣🤣🤣🤣..aje nimpe viwalo ...Auze mwili
Uwiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kapewa muda, awe hana au anazo, hilo lake. Akivusha muda hatua nyingine zitafuataAnazo?
KimenukaaaaaMahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Chanzo: Swahili Times
Makonda mwenyewe aliyekuwa anawatengeneza hawa, hana uhakika kama hataguswa au wanaenda kwa zamu. Kwa hiyo hawezi kumsaidia.Waliomtuma wamemtelekeza
Membe kaenda kukazia hukumu bado shangazi.. Je wale jamaa wa changia Musiba waliishia wapi? Walipata bei gani? Zilienda wapi?
Waliishia njiani walikosa wachangiaji. Walitaka kuwaiga CHADEMA kwenye michango wakaishia njiani. Huyo atahangaika Sana. Watamfilisi Mali zote.
Huyu mwaka huu kama hawajampakata wahuni sijui!!!
Yule mtetezi wa lgbtq wa kizanzibaa mtoto wa mstaafu alishampa chake?maana nakumbuka kusoma humu nae alitakiwa kulipwa
Huku ndio wazalendo wakajitutumue waonekane maana wameamua kukumbatia ujinga. Sio kila siku kutujazia nyuzi humu za kujaribu kubadilisha historia kama vile kipindi hicho walikuwepo wenyewe wengine tulihadithiwa.
Kwa kweli aseeeeeHi Dunia usipokuwa na akiba ya maneno utahangaika Sana.
Waliomtuma wamemtelekeza
Bora amsamehe tu! Tugange yajayo.
Nafikiri Muda ni malipo tosha!