Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Kwa mitusi aliyokuwa anaiporomosha, na vitisho vya kuuwa ALIPE TU
Jamaa alikuwa anajiamini kweli kweli !! --- sijui siku hizi uana harakati wake umefia wapi ??!!🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mitusi aliyokuwa anaiporomosha, na vitisho vya kuuwa ALIPE TU
Magazeti yake yalikua yanawatuhumu watu kwa ushoga, nakumbuka kuna jarida moja aliandika kwa herufi kubwa,"SHOGA AWACHANGANYA MAALIM SEIF NA ZITTO ",Halafu katikati ya picha ya maalim Seif na Zitto akaweka picha ya Sufian eti ndio gasho mwenyewe[emoji2][emoji2]Ushoga unalipa
Bora amsamehe tu! Tugange yajayo.
Nafikiri Muda ni malipo tosha!
Bridger 😁😁😁😁😁Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Chanzo: Swahili Times
Sasa ni zamu yake akaujiuze pale Buguruni tuwe tunapumzikia😆Magazeti yake yalikua yanawatuhumu watu kwa ushoga, nakumbuka kuna jarida moja aliandika kwa herufi kubwa,"SHOGA AWACHANGANYA MAALIM SEIF NA ZITTO ",Halafu katikati ya picha ya maalim Seif na Zitto akaweka picha ya Sufian eti ndio gasho mwenyewe[emoji2][emoji2]
Dah kweli maisha ni story ndefu...
Huyu mwamba Nikiangalia clip za enzi zile nacheka sana
Kama imeshitakiwa kampuni yake jamaa anaweza ku-file bankruptcy...
Hivi ni CCM ipi iliyomtumia huyu mtu kuwachafua watu mitandaoni? Hapo bado Shangazi hajaanza kudai chakeMahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Chanzo: Swahili Times
Wahakikishe hajiuiBado za Fatuma Karume , hakikisheni hakimbii nchi
Magazeti yake yalikua yanawatuhumu watu kwa ushoga, nakumbuka kuna jarida moja aliandika kwa herufi kubwa,"SHOGA AWACHANGANYA MAALIM SEIF NA ZITTO ",Halafu katikati ya picha ya maalim Seif na Zitto akaweka picha ya Sufian eti ndio gasho mwenyewe[emoji2][emoji2]
Danga limekufa slay queen anatupiwa vyombo nje ya nyumba🤣🤣🤣🤣Mbona ghafla...! Sponsor kafa