Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.

Chanzo: Swahili Times
Bridger 😁😁😁😁😁
 
Magazeti yake yalikua yanawatuhumu watu kwa ushoga, nakumbuka kuna jarida moja aliandika kwa herufi kubwa,"SHOGA AWACHANGANYA MAALIM SEIF NA ZITTO ",Halafu katikati ya picha ya maalim Seif na Zitto akaweka picha ya Sufian eti ndio gasho mwenyewe[emoji2][emoji2]
Sasa ni zamu yake akaujiuze pale Buguruni tuwe tunapumzikia😆
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.

Chanzo: Swahili Times
Hivi ni CCM ipi iliyomtumia huyu mtu kuwachafua watu mitandaoni? Hapo bado Shangazi hajaanza kudai chake

Nawasiliana na Maxence Melo ambaye nali alishatajwa kwa kuchafuliwa na huyu mtu ili afungue kesi ya madai

Dawa ya chawa ni kumsubiria at the end of the tunnel.

Asipolipa either aiombe mahakama kumpa hati ya kuwa amefilisika au Membe amuweke ndani hadi atakapolipa deni lake.
 
Magazeti yake yalikua yanawatuhumu watu kwa ushoga, nakumbuka kuna jarida moja aliandika kwa herufi kubwa,"SHOGA AWACHANGANYA MAALIM SEIF NA ZITTO ",Halafu katikati ya picha ya maalim Seif na Zitto akaweka picha ya Sufian eti ndio gasho mwenyewe[emoji2][emoji2]

Ana bahati akina Zitto walichukulia pia, la sivyo angekimbia nchi.
 
Back
Top Bottom