Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Kuna somebody Mshana alifariki atakatangazwa redioni.. Mgonjwa wangu akasikia ile taarifa kunipigia akanikosa hewani.. Alikodi boda toka Kisiju mpaka Msata Kilingeni..[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sio M ni B

Hii dunia kuna mambo yanachekesha sana. Yaani kujimwambafai kote kule sasahivi anaishi kama digidigi

Anatia huruma Sana. Mimi pamoja na kunichukiza na hotuba zake, kwa Sasa namuonea huruma ya kibinadamu.
 
Back
Top Bottom