Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Mbali na yote, hukumu hii imekaa kukomoa na ya kisiasa zaidi kuliko ile ya kutoa haki!
Kaka Pascal upo wapi?

Nafikiri anaweza pinga hukumu hii.

Kwenye sheria ya tort Kuna kitu kinaitwa punitive damages. Ni amri ya mahakama ya kulipa fidia kubwa Kama adhabu ya kutokurudia Jambo Kama Hilo Tena mbeleni.
 
Hivi mfano zikauzwa mali zote za Musiba pamoja na za ukoo wake mzima hiyo bilioni 9 itapatikana?
Nimewaza atatoa wapi pesa ndefu kiasi hicho

Tatizo musiba ana kibuli anataka kushinda a na Membe kwa kuchangisha watu bilioni 9. Sasa Kuna gharama za kesi na fidia ya bilioni 9. Nadhani Musiba angejishusha na kuomba radhi hadharani na kusamehewa kuliko kujimwambafy kwa kuchangisha watu hizo pesa.
 
Hata waliohukumiwa gerezani wanahiyo nafasi
Basi naye anaayo nafasi hiyo ya kukata rufaa au kupinga amri ya Mahakama.


Hukumu ilishatolewa Alipe
Hajalipa kwa muda aliopewa?

Je, Kuna muda aliopewa kufanya hivyo?

Na sasa Mahakama imeamuru Afanye hivyo katika siku 14!
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.

Chanzo: Swahili Times
AENDE CHATO AKAZICHUKUE KWA MZEE KWANI ALIKUWA ANAMTUMA
 
Daaah mbona nilikuwa nawasaidia wengi tu na bado wapo madarakani,amekufa mmoja tu, wengine wote wamenipotezea,daaah
IMG-20230403-WA0003.jpg
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.

Chanzo: Swahili Times
Musiba Kulipa fidia ya Tsh 9 bilion ni Musiba mwingine
 
Back
Top Bottom