peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Je ni nini kitatokea iwapo atashindwa kulipa 9 bilion?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika watu wenye wakati mgumu hii nchi ni yule musiba
Wote ni wakatoliki mtajuana wenyeweMahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Chanzo: Swahili Times
Yaani ht kwa hili wale walinda legacy bado wanaona nchi ilikuwa salama chini ya Muovu yuleMahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Chanzo: Swahili Times
Hivi mfano zikauzwa mali zote za Musiba pamoja na za ukoo wake mzima hiyo bilioni 9 itapatikana?
Nimewaza atatoa wapi pesa ndefu kiasi hicho
Tunaomba haki itendeke kwa waliomchafua Magufuli pia nae alipwe fidia alitukanwa sana mitandaoni
Dah kweli kesho ni fumbo. Huyu boya enzi za Jiwe alijitoa ufahamu kabisa😁
Watauza mpaka upara wake uleAnazo?
Nimekubali mkuu.Hilo ni somo kubwa sana, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
HakikaKwenye sheria ya tort Kuna kitu kinaitwa punitive damages. Ni amri ya mahakama ya kulipa fidia kubwa Kama adhabu ya kutokurudia Jambo Kama Hilo Tena mbeleni.
Pole sana kaka. Kwa ule ujinga wake, Musiba hatakiwi kabisa kuinjoi hewa hii nzuri ili iwe fundisho kwa wengine. Kuchafuana/kudhalilisha watu kuwe na kipimoHakika
hoja yangu ni kuwa mahakama isitumike kama silaha. Hukumu ilishatolewa ameamriwa kulipa. Hajalipa, Je kuna muda maalum aliyopewa katika hukumu ya awali ya amri hii kutokea?
Kama alipewa muda, sina la nyongeza, ila kama hakupewa muda maalum, naona sasa imefikia pahali Membe anataka kumkomoa.Kwani sioni membe akiwa ana njaa ya hiyo pesa kiasi cha kupeleka/kuomba mahakama kutoa siku kumi na nne ilipwe.
keep in mind, mie sio mwanasheria. ila naona Cyprian anauwezo wa kupinga au kukatia rufaa amri hii
Na mie nimesema huko juu...wapo wengi kama Musiba hapa jamvini na hata ndani ya uzi huu. Kitaeleweka .Pole sana kaka. Kwa ule ujinga wake, Musia hatakiwi kabisa kuinjoi hewa hii nzuri ili iwe fundisho kwawengine. Kuchafuana/kudhalilisha watu kuwe na kipimo