Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Kama ni kweli, basi kuna dosari kubwa kwa hawa majaji wetu na sheria zetu. Watu wote ni sawa. Hivyo ndivyo tunavyoamini. Na katiba yetu ya nchi inasema hivyo. Vitabu vitakatifu vinasema hivyo. Hivyo thamani ya Membe na thamani yangu na wewe iko sawa. Hivi ni kweli kwamba mimi na wewe tukichafuliwa kama alivyochafuliwa Membe, tutalipwa hizo Tsh billioni 9 kila mmoja kweli?
Suuuubutu....I mean Thubutu. Tume ya haki jinai ipitie hukumu hii.
 
Tunaomba haki itendeke kwa waliomchafua Magufuli pia nae alipwe fidia alitukanwa sana mitandaoni
Mie naomba atokee Mwanasheria ambaye ataweza kuja Kumwakilisha Mama Janeth Magufuli.

Halafu tuje tuone jeuri ya bando.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Kuna majina hayafai kuwapa watoto yaani mtu anaitwa Musiba kweli? ona sasa si msiba huu umempata kweli huyu jamaa... shwain
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Hivi hili tatizo la picha kutofunguka humu JF linaitokea mimi tu au na wengine?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Defamation haina uwakilishi Kwa mjibu wa Sheria zetu, Yule aliyetukanwa ndiye anatakiwa kulalamika tu na sio vinginevyo.
Acheni kukurupuka kupost vitu msivyovifahamu
Kwa hiyo unadai hakuna watu waliomshambulia na kumchafua Janeth Magufuli hapa kwa sababu ya Mme wake?
Unacho kifahamu ni nini? Kwani huyo Membe alijiwakilisha mwenyewe Mahakamani?

Kusema Mama Janeth naye aje kupata uwakilishi nayo kwa mujibu wa Sheria zetu sio sahihi?

Umenisoma vizuri au na wewe umekurupuka tu?
 
Kuna somebody Mshana alifariki atakatangazwa redioni.. Mgonjwa wangu akasikia ile taarifa kunipigia akanikosa hewani.. Alikodi boda toka Kisiju mpaka Msata Kilingeni..[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Magazeti yake yalikua yanawatuhumu watu kwa ushoga, nakumbuka kuna jarida moja aliandika kwa herufi kubwa,"SHOGA AWACHANGANYA MAALIM SEIF NA ZITTO ",Halafu katikati ya picha ya maalim Seif na Zitto akaweka picha ya Sufian eti ndio gasho mwenyewe[emoji2][emoji2]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.

View attachment 2588944

Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Atauza hadi meno yake.
 
Wacha wakomoane, ila kuna ya kujifunza na hayo na yale yanayoendelea humu Jamvini. Ipo siku kitaelweka.

Naona kuna ugaidi wa kimtandao unaondelea kutokana na Taarifa hizi. Naona kumetokea mwanya wa wale waliokuwa na "visongo vya usasi" kuendelea kutoa nyongo.
chochote kilichosababisha mapenzi yake au harakati zake za kashfa, inaonekana kwangu, ni mapenzi sawa na wengi hapa.... wanaoendeleza upotoshaji wa chuki na kukashifu kwa kuzingatia amri/taarifa hii

Kinachoonekana, ingawa ni haki, kinaweza kutafutwa na kutumiwa na wengi ambao wamefikia pahali sawa na Membe.

Muda utasema. Hata hivyo, mahakama hazipaswi kutumiwa kama silaha ya kulipiza kisasi

Ipo siku Ugaidi huu wa mtandaoni utaenda kutolewa ushauri,hukumu, na hata amri za kukabiliana nao.

Pole Mama Janeth.
R.I.P mwamba.

Punguza maneno mengi, kamsaidie Musiba kulipia fidia. Tofautisha maoni ya mtandao na kumchafua mtu hadharani kwenye tv.
 
Back
Top Bottom