Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Nyusi hizo kwani🤣🤣🤣Anazo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyusi hizo kwani🤣🤣🤣Anazo?
Suuuubutu....I mean Thubutu. Tume ya haki jinai ipitie hukumu hii.Kama ni kweli, basi kuna dosari kubwa kwa hawa majaji wetu na sheria zetu. Watu wote ni sawa. Hivyo ndivyo tunavyoamini. Na katiba yetu ya nchi inasema hivyo. Vitabu vitakatifu vinasema hivyo. Hivyo thamani ya Membe na thamani yangu na wewe iko sawa. Hivi ni kweli kwamba mimi na wewe tukichafuliwa kama alivyochafuliwa Membe, tutalipwa hizo Tsh billioni 9 kila mmoja kweli?
Mie naomba atokee Mwanasheria ambaye ataweza kuja Kumwakilisha Mama Janeth Magufuli.Tunaomba haki itendeke kwa waliomchafua Magufuli pia nae alipwe fidia alitukanwa sana mitandaoni
Defamation haina uwakilishi Kwa mjibu wa Sheria zetu, Yule aliyetukanwa ndiye anatakiwa kulalamika tu na sio vinginevyo.Mie naomba atokee Mwanasheria ambaye ataweza kuja Kumwakilisha Mama Janeth Magufuli.
Halafu tuje tuone jeuri ya bando.
Noma sana!Haya maisha! Sponsor anakutia mimba halafu anakufa...
Huyu wasimuachie lazima wanfunge jela liwe fundisho kwa chawa wengine!Membe kaenda kukazia hukumu bado shangazi..
Je wale jamaa wa changia Musiba waliishia wapi?
Walipata bei gani? Zilienda wapi?
Katika hiyo team, kuna waliokuwa wanachukia mitusi yake..!! Ni kama alikuwa anamharibia JPM. Walikosa namna ya kufanya kumtuliza.Aweke namba yake ya simu watu wamchangie na hasa Team Mwendazake atapata hela ya kulipa
Shemela, unakibambika kibenten chako tu..!! Hakikisha tu anakubandua kavukavu wakati mimba bado changa. Hata akihesabu kwa vidole, bado jokeri linamdondokea tu..! Famasiala..!Haya maisha! Sponsor anakutia mimba halafu anakufa...
Kuna majina hayafai kuwapa watoto yaani mtu anaitwa Musiba kweli? ona sasa si msiba huu umempata kweli huyu jamaa... shwainMahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Hivi hili tatizo la picha kutofunguka humu JF linaitokea mimi tu au na wengine?Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Kwa hiyo unadai hakuna watu waliomshambulia na kumchafua Janeth Magufuli hapa kwa sababu ya Mme wake?Defamation haina uwakilishi Kwa mjibu wa Sheria zetu, Yule aliyetukanwa ndiye anatakiwa kulalamika tu na sio vinginevyo.
Acheni kukurupuka kupost vitu msivyovifahamu
Hio no ya kwa maelezo zaidi piga no hii,na ya nchi gan ina maana mwamba hayupo tz?[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna somebody Mshana alifariki atakatangazwa redioni.. Mgonjwa wangu akasikia ile taarifa kunipigia akanikosa hewani.. Alikodi boda toka Kisiju mpaka Msata Kilingeni..[emoji23]
Kuna mtu ananunua figo bilion 9 labda amix za ukoo mzima,[emoji1787]not ushoga, niweke sawa.. sehemu za mwili wake kama figo etc.. japo aoneshe lengo la kulipa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magazeti yake yalikua yanawatuhumu watu kwa ushoga, nakumbuka kuna jarida moja aliandika kwa herufi kubwa,"SHOGA AWACHANGANYA MAALIM SEIF NA ZITTO ",Halafu katikati ya picha ya maalim Seif na Zitto akaweka picha ya Sufian eti ndio gasho mwenyewe[emoji2][emoji2]
Atauza hadi meno yake.Mahakama Kuu ya Tanzania imempa siku 14 za kazi mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wenzake watatu kumlipa Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Benard Membe TZS bilioni 9.92 kama fidia ya kumchafua kupitia vyombo vya habari.
View attachment 2588944
Mahakama imetahadharisha deni hilo lilipwe ndani ya muda vinginevyo hatua zaidi zitachukuliwa.
Mbona wengi walikamatwa na wengine kuuawa.Tunaomba haki itendeke kwa waliomchafua Magufuli pia nae alipwe fidia alitukanwa sana mitandaoni
Na jinsi alivyokuwa na kiburi sijui itakuaje!!, angemfuata Membe falagha wakayaongee kiutu uzima nadhani yangeisha.
Wacha wakomoane, ila kuna ya kujifunza na hayo na yale yanayoendelea humu Jamvini. Ipo siku kitaelweka.
Naona kuna ugaidi wa kimtandao unaondelea kutokana na Taarifa hizi. Naona kumetokea mwanya wa wale waliokuwa na "visongo vya usasi" kuendelea kutoa nyongo.
chochote kilichosababisha mapenzi yake au harakati zake za kashfa, inaonekana kwangu, ni mapenzi sawa na wengi hapa.... wanaoendeleza upotoshaji wa chuki na kukashifu kwa kuzingatia amri/taarifa hii
Kinachoonekana, ingawa ni haki, kinaweza kutafutwa na kutumiwa na wengi ambao wamefikia pahali sawa na Membe.
Muda utasema. Hata hivyo, mahakama hazipaswi kutumiwa kama silaha ya kulipiza kisasi
Ipo siku Ugaidi huu wa mtandaoni utaenda kutolewa ushauri,hukumu, na hata amri za kukabiliana nao.
Pole Mama Janeth.
R.I.P mwamba.