Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Sidhani ana thamani hata ya milioni 9 kwa sasa yeye na ukoo wake wote achilia mbali hizo bilioni.
Karma is a bitch.
Karma is a bitch.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uanaharakati wake ulizikwa pamoja na jiwe..!!Jamaa alikuwa anajiamini kweli kweli !! --- sijui siku hizi uana harakati wake umefia wapi ??!!🤣🤣
Jamaa a commit suicide tu. Ajiue ndo pona yake.
Hivi hapo alipo muda huu akipitia yale majarida yake anakua anafikiria nin?[emoji2][emoji2]Sasa ni zamu yake akaujiuze pale Buguruni tuwe tunapumzikia[emoji38]
Aende kumuomba Biswalo Mganga amtolee kwenye ile akaunti ya Uchina.
Dah! Huyu jamaa enzi za Magufuli alikuwa ni Chawa kweli kweli. Alikuwa anaamua tu leo ampe nani vidonge vyake!
Wahakikishe hajiui
Tatizo kutembea kwa magoti siyo option ya mahakama..!!Hapana aombe radhi hadharani na kujutia makosa yake. Akubali kutembelea magoti kwenda kwa Membe. Maana sidhani Kama Membe ana shida na hizo pesa bali kumfunza adabu asirudie huo ujinga Tena.
Aise hatariB 9 in 14 days
Nisaidieni hesabu mwamba anatakiwa aingize sh ngapi kwa kila sekunde inayogonga?
Kwasababu wale aliokuwa akiwatetea huku wakipora fedha za Watanzania bado wapo na fedha walizopora wamezitoroshea nje ya Nchi sasa ni pay time wamlipie meneja wao wa propaganda.Wazo zuri Sana. Akalifanyie kazi la sivyo watampoteza, maana aliowatukana ndio waliishia hatamu.
Atatamani aolewe tu sasa yaisheBado za Fatuma Karume , hakikisheni hakimbii nchi
Aweke namba yake ya simu watu wamchangie na hasa Team Mwendazake atapata hela ya kulipa
Jinai haifi, anaweza pona leo ila akashtakiwa uzeeniMakonda mwenyewe aliyekuwa anawatengeneza hawa, hana uhakika kama hataguswa au wanaenda kwa zamu. Kwa hiyo hawezi kumsaidia.
Kuna somebody Mshana alifariki atakatangazwa redioni.. Mgonjwa wangu akasikia ile taarifa kunipigia akanikosa hewani.. Alikodi boda toka Kisiju mpaka Msata Kilingeni..[emoji23]Wabongo wanasema bora kupoteza hirizi kuliko kufiwa na mganga.