Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
waandishi waandishi tunamtafuta ndo anatujibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Musiba jaman, mapema yote hii?? Khaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waandishi waandishi tunamtafuta ndo anatujibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Musiba jaman, mapema yote hii?? Khaaah
Uungwana ndio huu
Rest well Bernard Membe
Pole na kwake Cyprian mwenyewe haya maneno yanayoendelea kwamba amefurahi yanaumiza sana
Yaani sasa watu wataogopa Musiba! 🤡
Duuh?! [emoji56][emoji56][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.waandishi waandishi tunamtafuta ndo anatujibu
Huko mwibara ndo kumetuma kimbora....wale watu sio wa kuchezea sumbawanga anasubiri
Watanzania kwa uchonganishi!!Tuone na Fatuma Karume nae kama ataufyata
Wanajua sana ku boldWatanzania kwa uchonganishi!!
Musiba ni Mbwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Musiba jaman, mapema yote hii?? Khaaah
NYOKA AKIPONDWA KICHWA ........................................................Upande wapili inaweza ikamsumbua zaidi
Kama alikuwa anaweza kukaa na membe wakayamaliza kiungwana
Sasa hivi likianzishwa niyeye na warithi wa membe
Picha ya kinafiki kweli hii dah🤣🤣🤣