Lamentations
JF-Expert Member
- Mar 12, 2023
- 285
- 848
waandishi waandishi tunamtafuta ndo anatujibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Musiba jaman, mapema yote hii?? Khaaah
Hahahahaha! Mkuu mbona inaonekana kama hicho kipande cha maandishi ya Musiba na picha yake vimechomekwa tu hapo? Leo tutasikia mengi aisee.
Uungwana ndio huu
Rest well Bernard Membe
Pole na kwake Cyprian mwenyewe haya maneno yanayoendelea kwamba amefurahi yanaumiza sana
Yaani sasa watu wataogopa Musiba! 🤡
Duuh?! [emoji56][emoji56][emoji125]
Unaweza mhukum msiba ,ila wenda nyuma ya Pazia walisha ombana msamaha
Nafikiri Musiba atashona suti yenye marinda kwa ajili ya kuhudhuria msiba wa Membe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.waandishi waandishi tunamtafuta ndo anatujibu
Huko mwibara ndo kumetuma kimbora....wale watu sio wa kuchezea sumbawanga anasubiri
Watanzania kwa uchonganishi!!Tuone na Fatuma Karume nae kama ataufyata
Cyprian Musiba unaupiga mwingi sanaaaaa😂😂😂😂
Macho makavu namna hiyo ndiyo ana masikitiko!!
Wanajua sana ku boldWatanzania kwa uchonganishi!!
Musiba ni Mbwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Musiba jaman, mapema yote hii?? Khaaah
NYOKA AKIPONDWA KICHWA ........................................................Upande wapili inaweza ikamsumbua zaidi
Kama alikuwa anaweza kukaa na membe wakayamaliza kiungwana
Sasa hivi likianzishwa niyeye na warithi wa membe
Picha ya kinafiki kweli hii dah🤣🤣🤣