Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Nani asiyefahamu upuuzi aliokuwa anaufanya musiba alipopata nafasi. Au labda ukute wewe ndo Musiba mwenyewe unajitia kusahauujinga ipi hiyo Supu ya kokoto ? akuna defamation cku hz. Ni kuhabarishana.
Kakipata?Mwambie membe Yuko mitaa ya mahakamani anasubiri chake
Kama hujazungukwa na wanafiki lima bangi...inalipa sana 👍"Nimeamua kurudi kijijini kulima baada ya magazeti yangu kuanguka, sina jinsi nimekubaliana na matokeo, kila zama na kitabu chake, nimefanya wajibu wangu wa kulipigania taifa lakini siko tayari kuwapigia watu magoti ili watambue umhimu wangu, sisi watu wengine tuna misimamo ambayo hatuwezi kuyumbishwa, siku wakiona umhimu wangu watanithamini" Cyprian Musiba katika mahojiano yake na @jambotv kuhusu kutoonekana kwa magazeti yake ya Tanzanite na Fahari Yetu
View attachment 2592004
Haha..Huyu ni wa kusukumia ndani...
Kwani anadaiwa niniDawa ya deni kulipa!...alipe aisee.
Sio mjanja inawezekana ndio kuomba toba kwenye huko🤣Jinga la karne!