yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Huyo hana akili, aende akaajitiwe clouds sasa
Wewe Mwenye akili umeajitiwa wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo hana akili, aende akaajitiwe clouds sasa
Kwa sababu kapingana na interview ya bashite ndio maana unaona hana akili. Shtuka mtabaki peke yenu kama vichaa wenye akili wote watawakimbia.Huyo hana akili, aende akaajitiwe clouds sasa
Tulia uandike vizuri!Huyo hana akili, aende akaajitiwe clouds sasa
Huyu msiba atakuwa zuzu hiyu.unaleta ziasa kwenye kz na maisha.!!!??? Au kapata kz nyingine au tayari kaingizwa kwenye malipo ya madawa ya kulevya km kina balile na wengneMtangazi na kiongozi wa Radio Free Africa bwana Cyprian Musiba ameamua kuacha kazi kutokana na issue ya maadili mara baada ya mahojiano ya Rc Makonda.
Kupitia ukurasa wake wa insta amebainisha hayo.
Karma is a bi.tch... Sahara Media mbona watakoma.
![]()
Huyo hana akili, aende akaajitiwe clouds sasa
Mmmh, kumbe free Afrika Radio nao walifanya mahojiano na 'mshikaji' Mbona nasikia alifungiwa na vyombo vya habari??
Iko tatijo kumukichwa yako veve!!Unapofanya hasira za kujiuzulu kisa maneno ya watu,, fikiria mara mbili maana kama hauna njia nyingine ya kupata kipato hapo (UTALIMIA MENO)na wale waliokuwa wanakushinikiza kwa maneno yao hutowaona wakati unasaga meno
Unapofanya hasira za kujiuzulu kisa maneno ya watu,, fikiria mara mbili maana kama hauna njia nyingine ya kupata kipato hapo (UTALIMIA MENO)na wale waliokuwa wanakushinikiza kwa maneno yao hutowaona wakati unasaga meno
Haka kamakonda ni kahuni vby mno, mimi nilikutana nae in person wakati akiwa mkuu wa wilaya Kino. Tukajadili vitu vya msingi tukafikia muafaka, kashenzi kakanizunguka dakika za mwisho, kakala hela za vijana kutoka kwa Balozi wa Uingereza wakati huo alikua mama Diana Melrose. Hua kanavyomtaja taja Mungu na kulialia makanisani hua namuona mnafiki wa kiwango cha PhD.Hawa washenzi walitusumbua sana kwenye kampeni.
Aende akaajiliwe kwenye gazeti la Tanzania daima, huko ndio majizi na mafisadi husafishwa na kutetewa
Unaleta taarifa bila cop ya hicho unachokisema hats srenshotKwanini
Hahaha pole mkuuHawa washenzi walitusumbua sana kwenye kampeni.
Mtangazi na kiongozi wa Radio Free Africa bwana Cyprian Musiba ameamua kuacha kazi kutokana na issue ya maadili mara baada ya mahojiano ya Rc Makonda.
Kupitia ukurasa wake wa insta amebainisha hayo.