Tetesi: Cyprian Musiba wa Radio Free Africa aamua kuacha kazi

Tetesi: Cyprian Musiba wa Radio Free Africa aamua kuacha kazi

Mwenye vyeti original huwez kukaa meza moja na kilaza mkubwa .....
Uskubali akili ndogo itawale kubwa
 
Kwanza hiyo a/c ni yake kweli? Kama ndiyo basi vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumuacha mtu salama [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona imewaacha wengi tu salama, GSM, kinje na wengine wengi tu ambao tunapeperusha bendera ya kijani kwenye shunghuli zetu haramu.
 
amehongwa na wauza ngada na vibaraka wao cdm kuendeleza vita yao dhidi ya ccm na makonda.

Jamani punguzeni mahaba. Yaani vyombo vyote vya habari vilipogoma kuandika habari za DAB wewe umeona ni kuwa walikuwa wameamriwa na CDM?? Kweli msikitukuze hicho chama kihivyo. Hakipo madarakani mnakiogopa hivyo. Kingelishika madaraka kwa bahati mbaya mngeliihama nchi?? Chama hakina hata balozi wa nyumba 10 mnakihara hivyo?? Poleniiiiii
 
Kwa jinsi ilivyoandikwa inaonekana habari ya uongo kabisa.

Kulikuwa na haja gani kujitambulisha kwenye akaunti yake.

Wabongo kwa kuzusha hatujambo.
 
Mmmh, kumbe free Afrika Radio nao walifanya mahojiano na 'mshikaji' Mbona nasikia alifungiwa na vyombo vya habari??
Pole kwa safari mkuu karibu nyumbani na kama ulikua nyumbani alafu ilikupita hii inabidi update memory yako
 
Endapo ni kweli, hongera kwake. Katika jamii hii ambayo wanataaluma wanatumika kama 'rubberstamp' na wanasiasa na matajiri.
Kwa hili tu hongera kwa kuthubutu.
 
Yeye aache tu kazi, kuna waliokosa kazi wanaona amechelewa ili wakaombe kazi mapema,
 
Back
Top Bottom