D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Sasa wote mkisema kwa sababu za kijamii hamuweki wazi na kesi yenyewe ishafungwa kuna madhara gani kuzisema hizo sababu maana hazina madhara tena? Nvojua mie hata majasusi wakubwa duniani wana muda fulani wa kutunza siri za mission fulani fulani, hii kitu ya Cooper imepitwa na wakati, acheni kuficha ficha basi wekeni wazi mambo yote sio kusema sababu za kijamii. Mdau The bold Napenda kujua wazo lako la kwann alidai hela ambazo anajua zingejua marked
Mkuu bado kuna baadhi ya maswala huwa hayawezi kuwekwa hadharani hata ipite miaka mingapi, Mfano haya mambo hapa chini?

Mbona mpaka leo hatujawekwa wazi kuhusu nani alichoma benki kuu ya Tanzania na kupoteza baadhi ya nyaraka muhimu ili kuficha ukweli?

Mbona mpaka leo hatujawekwa wazi ni nani alimuua mpendwa wetu Sokoine? Japo wanatuaminisha ajali.

Mbona mpaka leo haijulikani alipo Kassim Abdallah Hanga? Ni nani alihusika na upotevu wake maana kama walimuua basi familia yake inataka ione japo kaburi.

Mpaka leo zaidi ya miaka 50, Wamerekani bado hawajaweka wazi mtu/ kikundi cha watu waliohusika na kifo cha John F. Kennedy na baadae Mdogo wake Robert F. Kennedy?

Kuna mambo huwachwa hivyo hivyo na pengine mpaka Dunia itakapoisha, au kizazi hiki chote kiishe.

We call it, Top Secrets.
 
KUHUSU ALITUA VIP HAPA NDIO PA KUANZIA.

kwa mwendo ambao ndege inatembea masaa zaidi ya matatu ni kazi sana kuswip kutafuta ushahidi.tena kwa mtu ambaye alijua kwamba atatafutwa, akitua na parachute ilimlazimu alicheezee likamshushe mbali kabisaa makumi ya miles kwa urefu kutoka juu futi 10000, unaweza ona jinsi alivyokuwa na nafasi ya kwenda mbali zaidi.siamini kama alikuwa na parachute moja hasa kwenye briefcase.

BAADA YA KUTUA SASA.
Sijaamini sana kama walifanikiwa 100% kudhibiti hizi pesa, ukizingatia inatumika nchi nyingi tu na inaweza ingizwa nchi nyingine kwa namna tofauti tofauti.

Swadakta! Umechambua vizuri sana mkuu.. Hakika kwa umbali mrefu wa futi 10,000 alikuwa na uwezo wa kuchezea parashuti akatue mbali sana tofauti na wanapofikiria.. Pia ni sahihi kabisa kuna posibility fedha alizitorosha nje ya nchi kinyemela
 
KUNA ILE MOVIE YA 2016 INAITWA "POINT BREAK" KUNA PLOT MOJA WANAIBA FEDHA THEN WANACHEZA SKYDIVING KWENDA CHINI IN MEXICO THROUGH THE HOLE DIRECT INTO THE BIG CAVES IN MEXICO. SIO KWAMBA HUYU COOPER NAE NDIO ALIPIGA SHOW KAMA HII AU WANADHANI MAY BE ALIFANYA HIVYO. INGAWA BADO MI NABAKI NA INSTICT ZANGU KUWA FBI/CSI WALIHUSIKA.
UKIONA UHALIFU WOWOTE DUNIANI KATIKA NCHI YOYOTE UMEFANYIKA NA WAHALIFU HAWAJAPATIKANA UJUE USALAMA WA NCHI HUSIKA UTAKUWA UMEHUSIKA KWA HALI YA JUU SANA.
KAMA KWA JF KENEDY/2PAC/BIGGIE/PRINCESS DIANA.... ETC
 
Km miaka 45 imepita na D. Cooper hajapatikana basi jamaa akili yake iliwaza ambapo FBI hawakuwaza. Km akili ya FBI ilikuwa 1 D. Cooper alikuwa ashafikisha 46 ndo maana mpk sasa hawajajua lolote.

Ila najiuliza, je haiwezekani hyo hela ikapelekwa kutumika nje ya nchi?
 
Mm ndio maana nasema jamaa hakuruka na ndege mara ya pili...
Alishuka na mateka baada ya kupewa mshiko wake.....then marubani ndio wakamaliza mchezo wote......tena hata ile choice ya kujifanya alitumia parachute za kujifunzia. Waliifanya maksudi ili fbi wajue jamaa lazima atakua amekufa
Nakuuliza swali ni nani aliewafungia marubani mlango na yeye kubaki peke yake ndani ya ndege na kwenda kufungua huo mlango wa nyuma
 
Swadakta! Umechambua vizuri sana mkuu.. Hakika kwa umbali mrefu wa futi 10,000 alikuwa na uwezo wa kuchezea parashuti akatue mbali sana tofauti na wanapofikiria.. Pia ni sahihi kabisa kuna posibility fedha alizitorosha nje ya nchi kinyemela
Na zile zilizookotwa kule mchangani wakati dogo anafukua ni nin
 
Bonge la stori. Huyo cooper kama angekuwa bongo wachawi wangemtumia kutengeneza ndumba ya kufanya tukio na kutokuonekana wala kupatikana...huo mti wamgeuita mkupakupa
Mkupakupa [emoji12]

Kaka ...
 
Dah, Asante sana mkuu! Yaani wakati Alex Mahone akiwa kule Utah pale petrostation yule muhudumu alipomuuliza "people still asking about this guy" nikahisi tu kwa kuuliza kule hii itakua ni truestory! Umenifumbua macho sana!

By the way mzee Charles Westmoreland aliuvaa uhusika wa D.B Cooper vizuri sana! Wenzetu wametuacha mbali sana kwenye utengenezaji wa filamu.
Wanapotushinda wenzetu ni uwezo wao Mkubwa wa kuunganisha matukio, muhusika huwa anaandaliwa kabla ya kupata anayevaa uhusika wenyewe.

Nimesoma kidogo namna sinema ya John Wick ilivyomfanya muhusika mkuu aende Brazil kujifunza sanaa ya mapigano yenyewe asili ya huko na pia alijifunza kirusi kwa ajili ya sinema hiyo.

Tunashindwa kwa kutofuata misingi ya uendeshaji wa sanaa yenyewe.

Kaka ...
 
Back
Top Bottom