Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dn't leave me behind wen tc ready....Nyingine weekend hii inakuja..
Bila shaka Mkuu! NitakumbukaDn't leave me behind wen tc ready....
Kaka na mimi nasubiri kwa hamu usinisahauNyingine weekend hii inakuja..
Bila shaka Mkuu..Kaka na mimi nasubiri kwa hamu usinisahau
Nyingine weekend hii inakuja..
Sawa Mkuu..Mkuu usinisahau na mimi
Hahaha daahHuyo jamaa ni haki aitwe mwanadam wa kusadikika
Afadhali umejibu huku, maana nilikuuliza kule..! Unatarajia kuitupia mida gani?Wakuu kesho j'pili tar 9/10 naweka stori mpya..
Wakuu kesho j'pili tar 9/10 naweka stori mpya..
Kaka leo nimeangalia tamthiliya ya Hawaii Five-0 S03E07 wamezungumzia kidogo kisa cha Cooper kuna mtu alijaribu kumcopy Cooper kidogo, kila walichokiongea ulikiandika kwenye huu uzi hongera sana mkuu kwa jitihada zako BTW tunakuombea uzima kesho utuporomoshee vitu
Vuta subira Mkuu! Nitakuja kuielezea nikiweka sehemu ya pili ya hii simulizi..kuna sehemu ulisema noti hali .... litakuwa na maana huko mbele, mbona mpaka mwisho wa alfu lela ulelesijaona
Tayari mkuustory mpya tayar...