Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yule kocha asiye na vyeti aliyeajiriwa kwa bahati mbaya na Simba na baadaye kumtimua baada ya kumstukia , Amefungashiwa virago na timu ya Taifa ya Mauritania iliyomsitiri kwa muda .
Da Rosa aliiongoza Timu hiyo kwenye michuano ya Afcon ilikong'olewa mapema asubuhi .
Da Rosa aliiongoza Timu hiyo kwenye michuano ya Afcon ilikong'olewa mapema asubuhi .