Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mmmh checheWataisha sana wazee wa Nduthi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh checheWataisha sana wazee wa Nduthi
Hapo kabebwa na nini
Hadi mwili umetetemeka[emoji33]Unaweza jiuliza kwenye 'lane' iyo alifata nini ila unaweza kosa majibu ya haraka.
Na kichwa kikaingia humo akabaki kaning'inia?Kajibamiza kwenye hilo lorry baada ya impact...
Huyu kima anaweka na goti chini kama jamaa wa kwenye mashindano. Apumzike kwa amani kama alikufa kama hakufa atakua amejifunzaWataisha sana wazee wa Nduthi
Pole, imenisikitisha sana.Aiseee! Tumbo la uzazi limenicheza😔
Pikipiki pia imemsaidia kuning'iniaNa kichwa kikaingia humo akabaki kaning'inia?
Hivi Ephen, unakimbiza pikipiki kwa speed na mazoea na uendeshaji wa hovyo, huku umelewa, unategemea nini?Usiseme hivyo!🥺 hakuna anayeombea kifo
Sio sawa unajua..
Dah, wapi hii?Wataisha sana wazee wa Nduthi
TobaaaaaaPikipiki pia imemsaidia kuning'inia
Huyo alikuwa ndio anaingia barabarani kutoka upande mwingineUnaweza jiuliza kwenye 'lane' iyo alifata nini ila unaweza kosa majibu ya haraka.
OkayHivi Ephen, unakimbiza pikipiki kwa speed na mazoea na uendeshaji wa hovyo, huku umelewa, unategemea nini?
Kama yeye mwenyewe hajionei huruma, kuna haja gani ya sisi wengine kumuonea?
Sawa, kifo hakuna apendaye ila kuna vitendo vya hovyo vinavyohatarisha usalama wako na kukukaribisha zaidi na mwisho wa uhai wako.
Akalale huko.
Kwani gari za Rwanda huwa zinafuta mafuta wapi? Hapo ni TZ nadhani, angalia namba za pikipikiLeft hand hiyo ya Rwanda. Daaah Pole sana, Maisha haya Jamani.
Rekebisha hapo, ni Afisa usafirishaji.Unaweza jiuliza kwenye 'lane' iyo alifata nini ila unaweza kosa majibu ya haraka.
Nimeshuhudia Kwa macho yangu ajari kama hiyo maeneo ya Tabata mwananchi mbele kabla ya kufika kwenye traffic light za external Afisa usafirishaji aliingia mwenyewe mbele ya semi trailer sema bahati yake dereva wa Semi alikuwa mwendo mdogo akafunga break.Hii picha ni kama ime-setiwa kinamna, yaani ni kama tukio la kuigiza. Sijui lakini, pengine nimekosea.