Daaah, bodaboda bodaboda...inauma sana

Daaah, bodaboda bodaboda...inauma sana

Duh noma sana, nimepoteza washikaji zangu wengi sana so sad boda sio powa wakubwa
 
Duh noma sana, nimepoteza washikaji zangu wengi sana so sad boda sio powa wakubwa
Kuna mmoja asubuhi hii alikua amefungulia singeli alafu madoido mengi sana barabarani nikasema huyu akikutana na Semi huyu ataisalimia Injini
 
Pole sana maadam. Wazazi tufanye kazi kwa bidii, tufate uzazi wa mpango. Tuviandalie vizazi vyetu maisha bora na misingi Bora.

Wazazi tusiwe wabinafsi, mfundishe mtoto biashara mapema. Mungu tuepushe na mitihani ya Duniani.
Mh. Lema aliposema bodaboda siyo kazi watu walimdhihaki sana. Lakini kiukweli hii siyo kazi. Kwanza inatakiwa ibuniwe Kodi kubwa ambayo itazifanya bodaboda ziadimike barabarani. Nenda kwenye mahospitali yote makubwa na madogo idadi ya waathirika ni kubwa na wafanyakazi wa sekta ya afya ni wachache kuwahudumia waathirika.
Pia serikali yetu tukufu haioni jinsi uchumi wa nchi unavyoathirika na hizi ajali...
 
Kwahiyo hitimishi huyo ni bodaboda, hawezi kuwa mwendesha pikipiki wa kawaida? Mbona hapo chini kuna kabegi, labda alikuwa ni mwanachuo, au kijana mjasiriamali anakimbizana na muda!
 
Kuna mmoja asubuhi hii alikua amefungulia singeli alafu madoido mengi sana barabarani nikasema huyu akikutana na Semi huyu ataisalimia Injini
Hahahaha,,, hawa ndio maafisa wasafirishaji ambao hata darasa la saba hawajamaliza.
 
Hii picha ni kama ime-setiwa kinamna, yaani ni kama tukio la kuigiza. Sijui lakini, pengine nimekosea.
hata mimi nimehisi hivyo
maana pikpk imepigwa stendi, jamaa alivyo kaa amejikunja kwa nguvu aja relax kama kaishiwa nguvu na hajiwez

kichwa kimezamishwa kimkakati
 
Tumeshindwa kutatua hii changamoto acha nature iji+balance yenyewe!

Watakufa watakaokufa
Watabaki watakaobaki


Bodaboda zinaua zaidi ya ukimwi.


Hawa vijana wakiwa Barabarani Hadi unajiuliza akili zao wameweka wapi?


Kabla ya makonda kuwa mkuu wa mkoa ilikuwa Pikipiki hazifiki mjini na ilikuwa lazima bodaboda avae Kofia ngumu. Huyu makonda alikuja kufuta hizi Sheria leo ni tafran tupu Kila sehemu.


Iwe posta, mikocheni Kila sehemu ni Pikipiki zinaendeshwa na watu wasiokuwa na safety gears na wanavunja Sheria mchana kweupe


Acha wafe
 
Back
Top Bottom