ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
HapanaTuzae basi mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaTuzae basi mmoja
Kwanini babeHapana
Basi tunamsubiria Mjomba kwa mpango wa MUNGUNinalo! Siamini kama Mungu kaniumba mgumba
TanzaniaLeft hand hiyo ya Rwanda. Daaah Pole sana, Maisha haya Jamani.
Kuna mmoja asubuhi hii alikua amefungulia singeli alafu madoido mengi sana barabarani nikasema huyu akikutana na Semi huyu ataisalimia InjiniDuh noma sana, nimepoteza washikaji zangu wengi sana so sad boda sio powa wakubwa
Angalia Plate Namba Ile weweTanzania
Poa bro very soon ephen_Basi tunamsubiria Mjomba kwa mpango wa MUNGU
Mh. Lema aliposema bodaboda siyo kazi watu walimdhihaki sana. Lakini kiukweli hii siyo kazi. Kwanza inatakiwa ibuniwe Kodi kubwa ambayo itazifanya bodaboda ziadimike barabarani. Nenda kwenye mahospitali yote makubwa na madogo idadi ya waathirika ni kubwa na wafanyakazi wa sekta ya afya ni wachache kuwahudumia waathirika.Pole sana maadam. Wazazi tufanye kazi kwa bidii, tufate uzazi wa mpango. Tuviandalie vizazi vyetu maisha bora na misingi Bora.
Wazazi tusiwe wabinafsi, mfundishe mtoto biashara mapema. Mungu tuepushe na mitihani ya Duniani.
Uko sahihi, Hawa jamaa wana matatizo sana,Mungu awasaidie kwa kweliBodaboda walishafanya watu wengi kuwa sugu kuwasikitia! Mmi sidhani kama wana akili za kawaida. Pengine wachina wameweka mitambo kwenye hizo pikipiki ya kuwafanya wapate wehu!
Hahahaha,,, hawa ndio maafisa wasafirishaji ambao hata darasa la saba hawajamaliza.Kuna mmoja asubuhi hii alikua amefungulia singeli alafu madoido mengi sana barabarani nikasema huyu akikutana na Semi huyu ataisalimia Injini
hata mimi nimehisi hivyoHii picha ni kama ime-setiwa kinamna, yaani ni kama tukio la kuigiza. Sijui lakini, pengine nimekosea.
Mjinga sana round about anacheza singeli kwenye bodaboda kidogo aiparamie BajajHahahaha,,, hawa ndio maafisa wasafirishaji ambao hata darasa la saba hawajamaliza.
Kwa hapa kwetu ipo sawaLeft hand hiyo ya Rwanda. Daaah Pole sana, Maisha haya Jamani.
Tulizoea kuona kuku wakigongwa namna hiyoWataisha sana wazee wa Nduthi
Ndio nampenda baby mamaHahaha unataka umweke Mimba ephen_