UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
- Thread starter
-
- #21
Hahaha nimepata nguvu with her responseUsijisifie mkuu hapo competition inevitable..! Mimi huku napambana nimnase mlokole mwanasheria nimeokoka ila sina ujanja nimewachia Mungu aingilie maana mpole mpaka namwogopa aisei..!
Hahaha. Nimekuelewa saanaUlifanya kosa hujamuuliza na yeye vipi
Au unadhani macho yako tuu yanaamini ni mzuri wengine hawamuoni
Au ni mbaya macho yako mabovu yanazengua maana nina mchizi wangu anaitwa jose anavaa miwani anaweza toka amekurupukaa na mihemko nico kuna bonge la mtoto nikienda kucheki naona kawaida tuu
Ushauri nitumie picha yake pm nidhibitishe uzuriwake au mkutanishe na jamaa asie vaa miwani ... Amdhibitishe...
Kaka sio kila mzuri anakwenda kwa mantiki ni mitazamo ya mindset za wote, kuchovya sio suruhisho utachovya wangapi kaka... Nipe tafsri ya neno "kukushobokea"Kaka bado siamini macho yako
Jambo la pili ukipewa miwani
Jaribu kumuuliza na yeye na uzuri wake wote why anakishobokea ghafra na hana mtu why
Mwisho chovyo kidole asali yake
HahahahahahMkuu embu nipe jina la hio hospitali namimi nikamuone classmate
Ushauri chunga asipate negatives zako, competitor wako atapata advantage hapo, ficha makandokando yako..!Hahaha nimepata nguvu with her response
Intresting... Lakini sizani kama mzigo tu ndio kigezo pekee japo kinamantiki wakati mwingineKwa sasa ninachoweza kusema ni kuwa Nyege tu ndio zinazokusumbua... Siku akishakupa mzigo alafu bado ukaendelea kumpenda basi ujue hiyo ndiyo karata yako chanya...
Haha eti umemwacha mungu aingilieUsijisifie mkuu hapo competition inevitable..! Mimi huku napambana nimnase mlokole mwanasheria nimeokoka ila sina ujanja nimewachia Mungu aingilie maana mpole mpaka namwogopa aisei..!
Thanks broh appriciateUshauri chunga asipate negatives zako, competitor wako atapata advantage hapo, ficha makandokando yako..!
i think he failed to see it from the startUsije ukawa kama mshkaj wangu flan yeye akipenda mwanamke anaingia miguu yote kabla hata ya kukubaliwa, mwisho anaambulia disapointments
ahaaaaaa jf bwana rahaa sanaa............................Ukute na yeye yuko humu anasoma jinsi ulivyo changanyikiwa
Habari waungwana poleni sana na kazi..
Leo nilimechoropoka ofisin nimekuja hospitali flani ya macho mjini hapa NHC HOUSE kurepair lens za miwani maana macho yangu yanamwaga machozi mfululizo afu yananiwasha.
Sasa wakati nasubiri kuingia kwa doctor nikawa nakagua frem za miwani najaribu hii na ile na nini.
Kiukweli sikuwahi kuingia hospitali hiyo ila ushauri wa washikaji kua jamaa wako vizuri pia wanafremu kali za miwani nikaona nijisogeze nione huduma zao kingine si mbali sana na ofisini na nini sio mbaya.
Zamu yangu ilipofika nikaingia nipate tija ya tatizo langu, Namkuta Dr kakaa yupo, "karibu" huku akiwa busy kukagua vipimo vyangu. Nikakaa,sasa wakati namuangalia vizuri tukagongana ile tunaangaliana, heee!!! Nikawa nimepigwa butwaa naangalia vizuri Dr mwenyewe ni class mate wangu wa primary enzi ziile za mchumba, mchumba wote tukabaki tunaangaliana... Yuko do I know you?
Nikawa Like yah Im Joseph n ur schola right? Aisee aliluka kunihug tukachekaa chit chat finally akaniambia kua tatizo ni lens ya miwani yangu imekua weak so nibadilishiwe.
Sasa wakati ushauri wa ki dr umeisha tukiwa tunaendelea na chit chat akauliza umeoa? nikamwambia ni long story ila to make it short bado life is full of shit, akawa tu excited n yuko aisee umekua mkaka sana with how you look unapaswa kua mume wa mtu... Nikacheka tuu ila kimoyo moyo niko once a gentleman always a gentleman tukapeana mawasiliano n kuplan kumeet again.
Kiukweli amekua mkali haswa yani those ladies of that kind,self made af kastaarabika na nimemuelewa saaana nahisi nikikaa hapa moyo wangu utapoa na ntafika mbali.
Muda huu hapa nachati nae namchombeza kama haniamini amini hivi ila dizaini amenielewa pia maana ana vijimaswali flani hivi vinanifanya natabasamu kila text ya whassap ikitua kwenye simu yangu.[emoji56] [emoji56].
Vipi waungwana Yawezekana hii ndio karata yangu chanya, maana ni muda mfupi ila nimetokea kumuelewa vibaya sana huyu dada af kilichoniua zaidi amekua mzuri haswa,
Nishaurini wadau nichangamkie fursa maana daaah si kwa uzuri ule na ustaarabu ule yani niko salama mpaka rohoni[emoji56] [emoji56].
ImekuajeCheck analysis ya mswahili kwa mtu waliyekutana naye in hardly 20ms
miss chagga this time nimekua kama kunguru niko makini vibaya sema hapa nimepaelewa aisee, sunset color yani daah lord have mercyha ha hapo mnapoangukiaga pua
unaujua hujapaelewa sema umedata na ulivyomkuta tu.. ila mkuu kuwa makinimiss chagga this time nimekua kama kunguru niko makini vibaya sema hapa nimepaelewa aisee, sunset color yani daah lord have mercy
Ushauri lazima uzingatiwe lakini sio kwa uzurina ustaarabu uleunaujua hujapaelewa sema umedata na ulivyomkuta tu.. ila mkuu kuwa makini
kipya kinyemiUshauri lazima uzingatiwe lakini sio kwa uzurina ustaarabu ule