Daah! Mbavu zangu

Daah! Mbavu zangu

Ukifanya tafakuri nzuri utaona kwamba huyo jamaa kajibu jibu zuri sana.

Mengi kushirikiana na serikali kufuta umaskini ni ndoto, sana sana atatutumia tu kuongeza utajiri wake.

Leo tunakaribia miaka 60 ya Uhuru, swala la umaskini halionekani kufutika.
hahaha jamaa anasema ni bora tukomae na kitu kimoja kwanza haiwezekani iwe hatuwezi kufanya hata kimoja wapo
 
Back
Top Bottom