Toto Zembe
Member
- Jul 15, 2019
- 74
- 99
Jamani wana JamiiForums habari zenu?
Kuna mkasa ulinikuta nikikumbuka nacheka sana[emoji2][emoji2].
Jumamosi moja niliamka ikiwa siku njema sana, ila ilipofika jioni mambo ayakuwa sawa, ishu yenyewe ilikuwa hivi: Si unajua mishe za mjini hapa katika michakato ya kusaka tonge.
Basi nilitoka zangu home nikiwa na elfu tatu kwa jili ya nauli kwenda kazini na kurudi pamoja na kula, basi uko bajeti ilivurugika nikajikuta nimetumia hadi pesa ya nauli ya kurudia. Basi jioni ilipofika si nikagongea nauli kwa mwana; basi mwana akanambia nimsubiri kidogo basi jamaa alipokuja akanifinyia noto lakini hela yenyewe alivonipa alinipa kwa style ya kama tuna shake hands. Basi alivonipa nikaitia mfukoni kwa furaha tele nikijua mambo ni [emoji106]sawa.
Basi nilivyo fika kwenye daladala nikakaa siti karibu na mrembo fulani hivi. Ilivyofika muda wa kutoa nauli si nikatoa ile noti bwana; bwana kumbe noti yenyewe kipande yaani ilikuwa imechanika imebaki kipande nilijuta kuzaliwa basi kama mnavyo wajua makonda na tabia zao alinikazia hadi ikawa noma mwisho wa siku mrembo akani save, tokea pale nilikaa kimya kama nimenyeshewa mvua.
Kwaiyo jamani tukipewa pesa na mhuni tuwe tunachunguza[emoji113][emoji113][emoji113]
Kuna mkasa ulinikuta nikikumbuka nacheka sana[emoji2][emoji2].
Jumamosi moja niliamka ikiwa siku njema sana, ila ilipofika jioni mambo ayakuwa sawa, ishu yenyewe ilikuwa hivi: Si unajua mishe za mjini hapa katika michakato ya kusaka tonge.
Basi nilitoka zangu home nikiwa na elfu tatu kwa jili ya nauli kwenda kazini na kurudi pamoja na kula, basi uko bajeti ilivurugika nikajikuta nimetumia hadi pesa ya nauli ya kurudia. Basi jioni ilipofika si nikagongea nauli kwa mwana; basi mwana akanambia nimsubiri kidogo basi jamaa alipokuja akanifinyia noto lakini hela yenyewe alivonipa alinipa kwa style ya kama tuna shake hands. Basi alivonipa nikaitia mfukoni kwa furaha tele nikijua mambo ni [emoji106]sawa.
Basi nilivyo fika kwenye daladala nikakaa siti karibu na mrembo fulani hivi. Ilivyofika muda wa kutoa nauli si nikatoa ile noti bwana; bwana kumbe noti yenyewe kipande yaani ilikuwa imechanika imebaki kipande nilijuta kuzaliwa basi kama mnavyo wajua makonda na tabia zao alinikazia hadi ikawa noma mwisho wa siku mrembo akani save, tokea pale nilikaa kimya kama nimenyeshewa mvua.
Kwaiyo jamani tukipewa pesa na mhuni tuwe tunachunguza[emoji113][emoji113][emoji113]