Dada aliyelalamika mtandaoni kuwa wanaume ni mbwa kumbe alifanywa kitu mbaya

Dada aliyelalamika mtandaoni kuwa wanaume ni mbwa kumbe alifanywa kitu mbaya

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kwa yaliyomkuta yule binti anayelia kuwa wanaume wote ni mbwa utamuonea huruma...

Nasikia mwamba alimpeleka lodge baada ya ile kazi binti usingizi ukampitia,kuamka jamaa kaishakimbia na simu na pesa za binti,binti akajikuta hana hata nauli na simu imekwenda.

Yaani unamtelekeza mtu na hela na simu unamuibia,lazima tuitwe mbwa
 
Kwa yaliyomkuta yule binti anayelia kuwa wanaume wote ni mbwa utamuonea huruma...

Nasikia mwamba alimpeleka lodge baada ya ile kazi binti usingizi ukampitia,kuamka jamaa kaishakimbia na simu na pesa za binti,binti akajikuta hana hata nauli na simu imekwenda.

Yaani unamtelekeza mtu na hela na simu unamuibia,lazima tuitwe mbwa
Nachoomba kujua inamaana Hadi baba yake mzazi alikua mbwa pia!😃
 
Kwa yaliyomkuta yule binti anayelia kuwa wanaume wote ni mbwa utamuonea huruma...

Nasikia mwamba alimpeleka lodge baada ya ile kazi binti usingizi ukampitia,kuamka jamaa kaishakimbia na simu na pesa za binti,binti akajikuta hana hata nauli na simu imekwenda.

Yaani unamtelekeza mtu na hela na simu unamuibia,lazima tuitwe mbwa
😀😀😀😀 kwamba uyo mwamba hakumuachia hata buku ya daladala
 
Najiona Kama Pitbul dog, kwa wenye number zangu za simu itakuwa poa mkinisave dawg....
 
Mwambieni Baba yake nipo nae hapa hospital anatibu gono
 

Attachments

  • 20240707_091715.jpg
    20240707_091715.jpg
    68.3 KB · Views: 8
Back
Top Bottom