Nachoomba kujua inamaana Hadi baba yake mzazi alikua mbwa pia!πKwa yaliyomkuta yule binti anayelia kuwa wanaume wote ni mbwa utamuonea huruma...
Nasikia mwamba alimpeleka lodge baada ya ile kazi binti usingizi ukampitia,kuamka jamaa kaishakimbia na simu na pesa za binti,binti akajikuta hana hata nauli na simu imekwenda.
Yaani unamtelekeza mtu na hela na simu unamuibia,lazima tuitwe mbwa
ππππ kwamba uyo mwamba hakumuachia hata buku ya daladalaKwa yaliyomkuta yule binti anayelia kuwa wanaume wote ni mbwa utamuonea huruma...
Nasikia mwamba alimpeleka lodge baada ya ile kazi binti usingizi ukampitia,kuamka jamaa kaishakimbia na simu na pesa za binti,binti akajikuta hana hata nauli na simu imekwenda.
Yaani unamtelekeza mtu na hela na simu unamuibia,lazima tuitwe mbwa
Astaghafilulahi.!Umesahau alimkula kitu pendwa cha yule mkuu wa mkoa aliyetumbuliwa
Alilimaindi futaππππππ kwamba uyo mwamba hakumuachia hata buku ya daladala
Ndio mbwa Hawa π kokoBaba yake nipo nae hapa hospital anatibu gono
Ndo nipo nae anachoma sindano za masaaaNdio mbwa Hawa π koko
Dah hatr we mpe chanjo bhn asidhuru wengine tuπ€Ndo nipo nae anachoma sindano za masaaa