Dada anataka nimtoe bikira yake

Inawezekana tena sana, ni kujiheshimu na kujitunza ndio siri. Mm nilikaa nayo mpaka naolewa.
Big up
 
Nina dada (upande wa mama mkubwa) ana miaka 22 mpaka leo hajawai kuwa na mwanaume yeyote sababu anazosema anataka mimi ndie nimtoe bikra yake.

Nifanye nini ndugu zangu?
Eb npe namba zake
 
Hadi unakuja JF kuomba ushauri ni uzembe uliopitiliza. Kaomba game mwenyewe...unahofia nn kuicheza? Au una matatizo ya kimaumbile?
 
Una maanisha mtoto wa mamako mkubwa ? Mamako na mamake wamezaliwa familia moja.Omba Mungu akuepushe na hilo hata sheria za nchi zinakataza achilia za dini yoyote ile.huyo ni dadako na mumwambie akatafute mume kabisa aolewe.inaonekana mnaishi nyumba moja kubwa yenye ndugu tofauti tofauti ndan
 
Kwanza inakuaje mpaka mnafika kuyaongea hayo na dada yako?
 
Mimi nina cheti cha kutoa bikira, nipe namba zake nimpe huduma bila malipo.
 
Dada yako!!! Mie dada yangu niliyezaliwa nae mama mmoja tu, mtoto wa shangazi mamdogo, mamkubwa, mjomba sijui, hawez kuwa dada yangu.. We tafuna tu..

Changanya akili ya kuelezwa na za kwako..
 
Dada yako!!! Mie dada yangu niliyezaliwa nae mama mmoja tu, mtoto wa shangazi mamdogo, mamkubwa, mjomba sijui, hawez kuwa dada yangu.. We tafuna tu..

Changanya akili ya kuelezwa na za kwako..
Ni ushauri pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…