Dada anayetangaza pamoja na Sami Missago kwenye enewz ya eatv ni shida

Nilichogundua EATV katika kuibua vipaji bora vya watangazaji ni balaaa ..

Kuna TV na Redio moja kazi yao kubwa ni kuiba watangazaji wa EATV
Eatv nao mbona wamemuiba alikuw kule tv1 kipind cha warembo
Vijana wanataka mali za mapedeshee, juzi hapa tu kaongwa gar la milion. 20 mtajua nyeny wapenda vizur huku hamna pesa mtu analipwa ka laki nne kwa huy mtoto wa kipale haumpati
 
Hiiyo chura kuna namna ya kuichezea. Unachukua omo unatengeneza povu unaloweka mikono humu kwa dk 30 kabla hujaanza kazi ya kucheza nayo.
 
Hata mm natafuta namba zake .mkuu ukizipata nipasie mm kila mtu ajaribu bahati yake
 
Hivi,kumiliki demu kama huyo sini shida??Mana kila mtu anamtolea machilo
 
Hajapata kazi kizembe pale EATV, kuna mtu nyuma ya pazia mtu huyo ni bwana wake.
Je bado unataka number
 
Jaman mwenye namba za uyu demu anaetangaza kipindi cha enewz cha eatv anipe jaman nijaribu bahati kwa kweli ananivutia sana kwa umbo lake mashallaaaah bonge moja la chu****a

Mwenye picha zake zaidi
View attachment 432211
kuna siku nulimuotea alikua ana mhug sam daah kamera ikammulika mgongo aisee ni balaa kubwa lile dooh wanaume tuna shida braza hawa dada zetu mitihani...
 
Mkuu leo imekuaje unamuombea heri huyu mpiga debe wa ccm , umeniangusha sana[emoji3] [emoji3]

*Shukran sana mkuu
*Ubarikiwe sana mkuu
*Mungu akupe afya
*Mungu akujaalie uzima
*Akuepushe na maradhi
*Akujaalie familia bora
*Kila aliekudhamiria mabaya yasikupate
*Akufungulie rizki zako akufanyie wepesi
 
Mimi nitoe Mama nisharizika na ka pasi kako tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii ndio quote pekee niliyoijibu ktk huu uzi,nimecheka mpaka kichwa kinauma.
Ngoja nilale sasa,[emoji126]
 
Mke wa mtu sumu, mbona unaomba # bila kuuliza nani anamiliki? Ohoooooo ntakutoa kibusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…