Dada Faiza njoo hapa utueleweshe vizuri

Dada Faiza njoo hapa utueleweshe vizuri

Mleta mada katoka boarding alikokua anashindiliwa maharage daily
 
Angalia vizuri kuna watu hawana kanzu hawajavua viatu

Unasema huyu aliyevaa suti? Mbona naye amvua? Hebu angalia vizuri
Screenshot_20200229-100445-2-1.jpg
Screenshot_20200229-100445-2-1.jpg
b
Screenshot_20200229-100445-2-1.jpg
 
Wewe ni muislamu? Na kama ni muislamu basi nahisi kuna mambo mengi bado hujayasoma. Hakuna khadithi wala aya ya qur ani iliyokataza kusali na viatu. Sio kuingia hapa naongelea kusali. Inafaa kusali na viatu na mtume (S.A.W) na maswahaba wake pia walisali na viatu. Nenda misri watu wanasali na viatu.
 
Wewe ni muislamu? Na kama ni muislamu basi nahisi kuna mambo mengi bado hujayasoma. Hakuna khadithi wala aya ya qur ani iliyokataza kusali na viatu. Sio kuingia hapa naongelea kusali. Inafaa kusali na viatu na mtume (S.A.W) na maswahaba wake pia walisali na viatu. Nenda misri watu wanasali na viatu.
Tutajie hizo aya zinazoruhusu
 
Wewe ni muislamu? Na kama ni muislamu basi nahisi kuna mambo mengi bado hujayasoma. Hakuna khadithi wala aya ya qur ani iliyokataza kusali na viatu. Sio kuingia hapa naongelea kusali. Inafaa kusali na viatu na mtume (S.A.W) na maswahaba wake pia walisali na viatu. Nenda misri watu wanasali na viatu.
Sio Misri tu hata hapa Tanzania watu tuna sali na viatu.

Bali mtume ameonekana mara nyingi sana akisali na viatu kuliko akisali bila viatu.
 
Kama ambavyo kichwa kinamuomba dada yetu mpendwa na mtetezi wa imani yake karibu hapa utuambie mbona hizi njemba zimeingia msikitini na viatu?

Swali langu lijibiwe kwa kiimani zaidi naomba watu wa protocol mtulie kwanza umbea hatuhitaji na tunajuwa kwa nini waoo hawakuvua ila majibu yajikite imani unasemaje?View attachment 1371601
Bali hata kuswali na viatu inafaa.
 
Back
Top Bottom