RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Wamevua, wamebaki na soksi nyeusi.Angalia vizuri kuna watu hawana kanzu hawajavua viatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamevua, wamebaki na soksi nyeusi.Angalia vizuri kuna watu hawana kanzu hawajavua viatu
Mbona wamevua viatu?
Angalia vizuri kuna watu hawana kanzu hawajavua viatu
Wewe unaekumbuka maharage nahisi ndio jana umetoka nduguMleta mada katoka boarding alikokua anashindiliwa maharage daily
Ahsante kwa kuwa na bidii ya kutaka kujuwa kama mimiNdama dume hapa nimetoka kumuuliza maalim akanambia viatu vikisafishwa vizuuri waweza ingia navyo masjid na kuswali navyo,ila ngoja b faiza aje tupate kimskia na yy atasemaje yakhe,
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutajie hizo aya zinazoruhusuWewe ni muislamu? Na kama ni muislamu basi nahisi kuna mambo mengi bado hujayasoma. Hakuna khadithi wala aya ya qur ani iliyokataza kusali na viatu. Sio kuingia hapa naongelea kusali. Inafaa kusali na viatu na mtume (S.A.W) na maswahaba wake pia walisali na viatu. Nenda misri watu wanasali na viatu.
😂 😂 😂 😂towe neno Dada kisha uweke neno Bibi
Sio Misri tu hata hapa Tanzania watu tuna sali na viatu.Wewe ni muislamu? Na kama ni muislamu basi nahisi kuna mambo mengi bado hujayasoma. Hakuna khadithi wala aya ya qur ani iliyokataza kusali na viatu. Sio kuingia hapa naongelea kusali. Inafaa kusali na viatu na mtume (S.A.W) na maswahaba wake pia walisali na viatu. Nenda misri watu wanasali na viatu.
Bali hata kuswali na viatu inafaa.Kama ambavyo kichwa kinamuomba dada yetu mpendwa na mtetezi wa imani yake karibu hapa utuambie mbona hizi njemba zimeingia msikitini na viatu?
Swali langu lijibiwe kwa kiimani zaidi naomba watu wa protocol mtulie kwanza umbea hatuhitaji na tunajuwa kwa nini waoo hawakuvua ila majibu yajikite imani unasemaje?View attachment 1371601
Toa andiko basi usijibu kinadharia hiviBali hata kuswali na viatu inafaa.
Nahisi hujaielewa. Nlipokwambia mtume alisali na viatu ina maana ya kwamba hilo jambo linafaa. Kuna mambo alifanya mtume na hayakua yanafaa na allah alimkataza. Hili la viatu hakumkatazaTutajie hizo aya zinazoruhusu
Ayawazayo mtu ndio kilichoujaza moyo wake