Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza Faiza atakuuliza unamaanisha nini kuhusu huyo babu kumutia dada yule ajuza?
Uchochezi gani mkuuMsikitini ni mahali patukufu ndiyo maana anko mwenyewe na misimamo YAKE amevua buti hadi na soksi....hii ni Mara ya PILI kwa raisi wa bongo kuvua viatu,amevua viatu akifungua msikiti wa istiqama mwenyewe bila kuambiwa akiheshimu imani isiyo YAKE...uongo na uchochezi acha.
Angalia vizuriSioni viatu mimi mbona.
Nimeangalia vizuri wamevaa soksi nyeusi.Angalia vizuri
Lakini kuna picha mmoja hata mpambe wake kavaa bhana ni mniga mweusi nae alikuwa kapigilia tuNimeangalia vizuri wamevaa soksi nyeusi.
Nnauhakika Masheikh waliokuwa nao hapo wana ilm yakutosha na wangeona kibaya chochote kinachoenda kinyume na mafundisho ya Uislam wasingesita kukizuwia.Kama ambavyo kichwa kinamuomba dada yetu mpendwa na mtetezi wa imani yake karibu hapa utuambie mbona hizi njemba zimeingia msikitini na viatu?
Swali langu lijibiwe kwa kiimani zaidi naomba watu wa protocol mtulie kwanza umbea hatuhitaji na tunajuwa kwa nini waoo hawakuvua ila majibu yajikite imani unasemaje?View attachment 1371601
Watu wamevua viatu...unaandika hawajavua sasa anaweza akakurupuka MTU akaanza kuwatukana wahusika kwenye picha utakuwa umechochea kuni ziwake!Uchochezi gani mkuu
Hapa sasa nimeridhika na jibu lako, majibu mengine ya waislam ijumaa tu au siku ya Idd sikuona kama yanajitoshelezaNnauhakika Masheikh waliokuwa nao hapo wana ilm yakutosha na wangeona kibaya chochote kinachoenda kinyume na mafundisho ya Uislam wasingesita kukizuwia.
Huyo wa kuanza kutoa matusi mkuu nae atakuwa hajielewi na ndio maana mimi nimeuliza na kutaka kujibiwa kiimani wala sikutaka cheo cha mtu kitumiweWatu wamevua viatu...unaandika hawajavua sasa anaweza akakurupuka MTU akaanza kuwatukana wahusika kwenye picha utakuwa umechochea kuni ziwake!
Lete hiyo picha,picha ulioweka hakuna alievaa viatuNdio tinataka kujuwa imani hii inasemaje maana kuna watu fulan wao hawajavua kabisa viatu hata jamaa wa nyuma kuna picha imeonyesha vizuri hajavua je ! Imani inasemaje? Je inaangalia nafasi ya mtu au watu fulani?
Naunga mkono hoja kwa debe moja la Locust(Nzige)Hapo kwenye heading badilisha na utowe neno Dada kisha uweke neno Bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo raha ya JF hiyo, kuna watoto, vijana na sie wazee.Hatuna Dada faiza humu Jukwaani tuna Kibibi Kizee Faiza