FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
-
- #41
Mkwe sasa huyu mwanamke mbona anacheza na moto kwanini asimwambie mumewe mambo yatakapokuja kufumuka itakuja kum-cost sana maana itaonekana alikuwa anaficha siri wakati inawezekana sio hivyo ni bora akamwambia once and for all ili waone inakuwaje ikiwezekana wakutane maana haya masuala ya kupigiwa na kutumiwa message saa nane za usiku ili hali wewe ni mke wa mtu inatia shaka maana mwanaume akigundua anaweza kuja na conclusion kuwa mkewe ana mahusiano na mwanaume mwingine so its best akamwambia na wakakaa chini wakayamaliza maana hiyo ndio njia itakayoondoa usumbufu.
Kwa mtazamo wangu nikiwa kwenye ndoa ,Najua haya maisha yana leo na kesho na hasa ukizingatia huyu dada kazaa na huyo X- wake kuna leo na kesho kuwa na mawasiliano si mbaya,Kwani inawezekana mtoto akapata tatizo ambalo baba yake anaweza kufahamishwa kwa namna moja au nyingine ,
Lakini huyu mwanaume si muungwana hata kidogo kwa nn amsumbue mwenzake wakati tayari anajua yuko kwenye ndoa yake ? hili nalo wanaume inabidi mjifunze kuwa makini kama maisha yamekuchanganya kwa nini ubebeshe lawama kwa mtu asiyehusika.?:sick:
Kama wengi walivyoshauri ni vyema dada huyu atafute namna ya kukaa na mmewe na kumweleza linalomkabili ingawa ,inawezekana pia mwanzo mme anaweza asimuelewe kwa sababu za wivu wa mapenzi lakini muda unavyokwenda atamuelewa mkewe .
kama alivyosema Michelle kwa nini anawasiliana na X wake
Dada anadai X-wake alimpigia simu akiwa kazini na kuanza kumweleza mlolongo wa matatizo kama binadamu alimsikiliza na mpaka mwisho kabisa alimweleza hataweza kumpa msaada wowote kwani yeye yupo kwenye ndoa na maamuzi yote wanafanya na mmewe
Ndipo alipoanza kuambiwa akumbuke fadhira.:coffee:
Huyu madame anasoma post hizi na imani atayafanyia kazi kabla ndo hii haijaingia matatani
Mungu ni mwema
Mahawara huwa hawaachani.
Babu anaweza kuapa!
Haswaaa, mimi mzima wa afya kabisaMkwe naomba ujifunze sawa eeeh matatizo yako usijebebesha wengine mkwe wangu.
Unaendeleaje lakini?
Hilo neno lina maana nyingi sasa sijui unamaanisha niniTena kama wewe ndo unakuwa hivo ndo nakuchapa bakora kabisa.
Kwa mtazamo wangu nikiwa kwenye ndoa ,Najua haya maisha yana leo na kesho na hasa ukizingatia huyu dada kazaa na huyo X- wake kuna leo na kesho kuwa na mawasiliano si mbaya,Kwani inawezekana mtoto akapata tatizo ambalo baba yake anaweza kufahamishwa kwa namna moja au nyingine ,
Lakini huyu mwanaume si muungwana hata kidogo kwa nn amsumbue mwenzake wakati tayari anajua yuko kwenye ndoa yake ? hili nalo wanaume inabidi mjifunze kuwa makini kama maisha yamekuchanganya kwa nini ubebeshe lawama kwa mtu asiyehusika.?:sick:
Kama wengi walivyoshauri ni vyema dada huyu atafute namna ya kukaa na mmewe na kumweleza linalomkabili ingawa ,inawezekana pia mwanzo mme anaweza asimuelewe kwa sababu za wivu wa mapenzi lakini muda unavyokwenda atamuelewa mkewe .
kama alivyosema Michelle kwa nini anawasiliana na X wake
Dada anadai X-wake alimpigia simu akiwa kazini na kuanza kumweleza mlolongo wa matatizo kama binadamu alimsikiliza na mpaka mwisho kabisa alimweleza hataweza kumpa msaada wowote kwani yeye yupo kwenye ndoa na maamuzi yote wanafanya na mmewe
Ndipo alipoanza kuambiwa akumbuke fadhira.:coffee:
Huyu madame anasoma post hizi na imani atayafanyia kazi kabla ndo hii haijaingia matatani
Mungu ni mwema
Mi naona huyu dada hana msimamo. Mtu alikuacha zamani, ukahangaika na hatimaye Mungu akakushushia mana... unataka kuila jangwani? Wala usibadili namba yako ya simu.. mwambie mumeo yanayokusibu. Huyo X-wako kama angekuwa na busara na anajuta kweli wala asingekughasi namna hiyo. Huyu ni mchfuzi wa ndoa za watu. Alishakuona nyani.. je sasa umekuwa tumbili? Huyo ni shetani katika sura ya binadamu, mkatae kwa nguvu zako zote.
Mahawara huwa hawaachani.
Babu anaweza kuapa!
Mahawara huwa hawaachani.
Babu anaweza kuapa!
umesahau hawa viumbe wanasahau kirahisi sana?sishangai,ila wanakera.......!!!!
Can we diskasi about Gongo la Mboto pls?
Kyabushaija cha msingi nenda kama uko karibu nenda kawasaidie misaada wanayohitaji nadhani utakuwa umefanikisha kwa karibu
Asante
Hilo neno lina maana nyingi sasa sijui unamaanisha nini
Can we diskasi about Gongo la Mboto pls?
Mahawara huwa hawaachani.
Babu anaweza kuapa!
Hapa ndo unataka kusemaje Babu?
Mie nakanusha wanaachana
Khaaaa!!!! Kwani mimi shuka au kitanda???Haya baba, nitakuchapa fimbo basii, nitakutandika yani!!