Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea.

Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea.

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea. Kama akikupa hata elfu kumi ya saluni au nauli ya kurudia ridhika maana naye anatafuta.
1731012737407.jpg

Wewe unalalamika halafu unajilinganisha na wale rafiki zako ambao kila siku wanakula bata, unachanganyikiwa ukiona wanapiga picha kwenye vyoo vya hoteli kubwa au ukiona wanapost picha wako uwanja wa ndege wakati hawana kazi!

Narudia acha kuwaonea wivu hao watu, ishi na mwanaume wako kujiangalia wewe! Kuna wadada wengi (sio wote) wanapost hizo picha lakini ukisikia wanayopitia hatatamani kula hata mwezi mzima uf*e na njaa ututie hasara ya Jeneza!

NISHAMALIZA;
 
Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea. Kama akikupa hata elfu kumi ya saluni au nauli ya kurudia ridhika maana naye anatafuta.
View attachment 3146576
Wewe unalalamika halafu unajilinganisha na wale rafiki zako ambao kila siku wanakula bata, unachanganyikiwa ukiona wanapiga picha kwenye vyoo vya hoteli kubwa au ukiona wanapost picha wako uwanja wa ndege wakati hawana kazi!

Narudia acha kuwaonea wivu hao watu, ishi na mwanaume wako kujiangalia wewe! Kuna wadada wengi (sio wote) wanapost hizo picha lakini ukisikia wanayopitia hatatamani kula hata mwezi mzima uf*e na njaa ututie hasara ya Jeneza!

NISHAMALIZA;
Mbona mademu waelewa wapo wengi tu nyie si mnataka wale wenye kucha ndefu kama za majini acheni wawanyooshe
 
Ngoja niwaambie vijana......

Kila hitaji huwa linakuja na wajibu.....kwa kadri unavyokuwa na uhitaji mkubwa ndio utakavyo wajibika zaidi.......

Huwezi kutegemea mazao kwenye shamba usilolitunza......

Ni wajibu wa mwanaume kumhudumia mkewe lakini kwa kuwa vijana hawataki kuoa na wamekuwa wagumu kwenye hilo lakini wanahitaji tendo la ndoa kama wanandoa basi ni wajibu wako kumhudumia anayekupa huduma hiyo........

Unachotakiwa kufanya ni kuangalia anaye weza kuendana na uwezo wako wa kutoa huduma kwa maana ya uchumi wako........

Na kama Kwa bahati mbaya unaona umefanya chaguo lisilo sahihi basi fanya haraka kuachana naye..... usilazimishe kuyafanya usiyoyaweza.....

NB;
Sijui ni mtazamo wangu lakini nyakati hizi kumezuka kizazi cha vijana wanaolalamika sana.....yaani vijana wanyonge wanyonge..... vijana wanaohisi kuonewa na kunyanyaswa....vijana wanaodhania kuwa kuna mtu wa kumbebea jukumu lake.......
 
Ngoja niwaambie vijana......

Kila hitaji huwa linakuja na wajibu.....kwa kadri unavyokuwa na uhitaji mkubwa ndio utakavyo wajibika zaidi.......

Huwezi kutegemea mazao kwenye shamba usilolitunza......

Ni wajibu wa mwanaume kumhudumia mkewe lakini kwa kuwa vijana hawataki kuoa na wamekuwa wagumu kwenye hilo lakini wanahitaji tendo la ndoa kama wanandoa basi ni wajibu wako kumhudumia anayekupa huduma hiyo........

Unachotakiwa kufanya ni kuangalia anaye weza kuendana na uwezo wako wa kutoa huduma kwa maana ya uchumi wako........

Na kama Kwa bahati mbaya unaona umefanya chaguo lisilo sahihi basi fanya haraka kuachana naye..... usilazimishe kuyafanya usiyoyaweza.....

NB;
Sijui ni mtazamo wangu lakini nyakati hizi kumezuka kizazi cha vijana wanaolalamika sana.....yaani vijana wanyonge wanyonge..... vijana wanaohisi kuonewa na kunyanyaswa....vijana wanaodhania kuwa kuna mtu wa kumbebea jukumu lake.......
Nyie ndio mnafanya wanawake waone kudanga ni sahihi au wayaone mahusiano ni kama ajira. Dunia imebadilika mwanamke kapewa uhuru na access zote za kutafuta hela kivipi ahudumiwe na mwanaume.

Sex na mahusiano kijumla ni hitaji la wote kama mmoja anataka kulipwa maana yake uyo anafanya biashara ya ukahaba. Sikatai mwanamke kujiuza, muhimu aweke tu price tag tukubaliane pale pale mwanzo then baada ya tendo kila mtu anachukua njia yake. Sio kubebeshana bills.

Kama mpaka baada ya sakata la Batzaar uko Gunea bado unaamini mwanamke anastahili sacrifices za mwanaume, bado unaamini kumuhudumia mwanamke ndio nguzo ya mahusiano basi wewe ni fala.
 
Nyie ndio mnafanya wanawake waone kudanga ni sahihi au wayaone mahusiano ni kama ajira. Dunia imebadilika mwanamke kapewa uhuru na access zote za kutafuta hela kivipi ahudumiwe na mwanaume.

Sex na mahusiano kijumla ni hitaji la wote kama mmoja anataka kulipwa maana yake uyo anafanya biashara ya ukahaba. Sikatai mwanamke kujiuza, muhimu aweke tu price tag tukubaliane pale pale mwanzo then baada ya tendo kila mtu anachukua njia yake. Sio kubebeshana bills.

Kama mpaka baada ya sakata la Batzaar uko Gunea bado unaamini mwanamke anastahili sacrifices za mwanaume, bado unaamini kumuhudumia mwanamke ndio nguzo ya mahusiano basi wewe ni fala.
Asante
 
Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea. Kama akikupa hata elfu kumi ya saluni au nauli ya kurudia ridhika maana naye anatafuta.
View attachment 3146576
Wewe unalalamika halafu unajilinganisha na wale rafiki zako ambao kila siku wanakula bata, unachanganyikiwa ukiona wanapiga picha kwenye vyoo vya hoteli kubwa au ukiona wanapost picha wako uwanja wa ndege wakati hawana kazi!

Narudia acha kuwaonea wivu hao watu, ishi na mwanaume wako kujiangalia wewe! Kuna wadada wengi (sio wote) wanapost hizo picha lakini ukisikia wanayopitia hatatamani kula hata mwezi mzima uf*e na njaa ututie hasara ya Jeneza!

NISHAMALIZA;
Kijana wa miaka 28 achana na mapenzi na watu, jitafute kwanza.....
 
As a man, dating in your 20's is a waste of time.

As a man, having children in your 20's is a biggest distraction.

As a man, marrying in your 20's sets a massive limitation on your potential to grow as a man.

At the end of the day, Men are judged for possessions and financial clout they have acquired in their lives, while Women are judged according to how they had preserved their bodies in their youth and the content of their character
.

So choose your poison carefully. A 20 year old is under no obligation to play any girl's lottery ticket.

Shauri yenu vijana.​
 
As a man, dating in your 20's is a waste of time.

As a man, having children in your 20's is a biggest distraction.

As a man, marrying in your 20's sets a massive limitation on your potential to grow as a man.

At the end of the day, Men are judged for possessions and financial clout they have acquired in their lives, while Women are judged according to how they had preserved their bodies in their youth and the content of their character
.

So chose your poison carefully. A 20 year old is under no obligation to play any girl's lottery ticket.

Shauri yenu vijana.​
😂😂😂😂 Umeongea Kwa hisia mno mkuu
 
As a man, dating in your 20's is a waste of time.

As a man, having children in your 20's is a biggest distraction.

As a man, marrying in your 20's sets a massive limitation on your potential to grow as a man.

At the end of the day, Men are judged for possessions and financial clout they have acquired in their lives, while Women are judged according to how they had preserved their bodies in their youth and the content of their character
.

So chose your poison carefully. A 20 year old is under no obligation to play any girl's lottery ticket.

Shauri yenu vijana.​
Kuna masimp hayaelewagi
 
Nyie ndio mnafanya wanawake waone kudanga ni sahihi au wayaone mahusiano ni kama ajira. Dunia imebadilika mwanamke kapewa uhuru na access zote za kutafuta hela kivipi ahudumiwe na mwanaume.

Sex na mahusiano kijumla ni hitaji la wote kama mmoja anataka kulipwa maana yake uyo anafanya biashara ya ukahaba. Sikatai mwanamke kujiuza, muhimu aweke tu price tag tukubaliane pale pale mwanzo then baada ya tendo kila mtu anachukua njia yake. Sio kubebeshana bills.

Kama mpaka baada ya sakata la Batzaar uko Gunea bado unaamini mwanamke anastahili sacrifices za mwanaume, bado unaamini kumuhudumia mwanamke ndio nguzo ya mahusiano basi wewe ni fala.
Tena rofa kabisa.
 
sio watundu hawakatiki,hawafinyii kwa ndani na hawalambi!
Unaongea vitu kinyumenyume, hao madem wa bei ghali ndo hawajui chochote zaid ya kujitanua na kukuachia mshimo uliotifuliwa haswa ila hawa waswahili natural ni wanyama sana unaezamwaga ubongo.
 
Back
Top Bottom