Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,667
Pamoja sana mkuu nafurahi kama umeelewaMkuu unakipaj cha kuandika na ushawish,nilikuwa upande ule ila nmekuelewa sana,nmerudi huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana mkuu nafurahi kama umeelewaMkuu unakipaj cha kuandika na ushawish,nilikuwa upande ule ila nmekuelewa sana,nmerudi huku
Mwanamke akijitegemea kwa kiasi chake inapendeza sana. Hata hamu ya kumfahamu vyema inakuwepo na inaashiria ana nia ya dhati na wewe. Sasa mwanamke ni mizinga toka umeomba namba mpaka siku ya kumvua chupi unakuwa unatamani gemu iishe haraka ukimpa kisogo imetoka hio.Ila sometimes inaboa sana. Mwanamke anaomba mpaka hela ya pedi aisee. Mpaka hamu ya kuwa nae inaisha kabisa. Punguzeni/acheni kuomba vitu vidogovudogo vinawashushia sana thamani yenu
Sasa kama hana amuombe nani na wewe ndo mtu wake? Acha kukimbia majukumu bro..Ila sometimes inaboa sana. Mwanamke anaomba mpaka hela ya pedi aisee. Mpaka hamu ya kuwa nae inaisha kabisa. Punguzeni/acheni kuomba vitu vidogovudogo vinawashushia sana thamani yenu
Hata km ni mama wa nyumbani ila cha msingi mwanamke awe anaVision, lazima aelewe dunia inaendaje asiwe mshamba, akuChallenge mwanaume kuDevelop as a person. Sio demu kutwa vikaptura na kushinda salon halafu kichwani hollow head.Hao watafutaji nao jeuri balaa eti sibabaishwi na mwanaume, sasa sijui tuchukue lipi
Ukiona mwanamke anaomba sana pesa ujue ni danga usijidanganye unatimiza majukumu ukishapata matatizo au pesa kukwama anaanza kupunguza mawasiliano na weSasa kama hana amuombe nani na wewe ndo mtu wake? Acha kukimbia majukumu bro..
HahahahahahaHao watafutaji nao jeuri balaa eti sibabaishwi na mwanaume, sasa sijui tuchukue lipi