Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

Binafsi ninatafuta mke wa kuoa more than 2 years tangu niamue hili ila bado sijamuona. Nakutana na wanawake wanakatisha tamaa kwa kweli.

Kupata mke anaejielewa ni kazi ngumu kwa mwanaume kuliko kutafuta pesa
Aisee 🤔
 
Back
Top Bottom