Mwanamke mwenye uhalali wa kumwambia mwanaume wasiingiliane hadi Ndoa ni bikra pekee yake. Sababu huyo hata akikusubirisha miaka 5 unajua wewe ndie unakwenda kuanza nae na ametunza mwili kwaajiri yako.
Waliobakia kuanzia wenye ambao walikutana na mwanaume m'moja tu , wenye X kadhaa, masingle mothers, hao wote kuolewa tena kwa mahari ni umesaidiwa sana na siku ya mahari na posa upige magoti yote mawili kumshukuru sana ambaye kajitoa kukuoa kawaacha bikra kaja kwako kukuvua aibu na fedheha ambayo ungetembea nayo maisha yako yote na kuifanya familia yako kuonekana ni haijui malezi ya binti yao.
Mwanamke ambaye hana bikra akikwambia hataki kufanya chochote na wewe hadi ndoa mwambie awe sasa anakulipa wewe kumsubiria yaani awe anakununulia vocha, anakutoa out, anakununulia zawadi, etc halafu akwambie ni muda gani anaweza kuendelea kukaa akifanya huo upumbavu wa kukusubirisha akikwambia haiwezekani muulize kwahiyo ulitaka mimi ndio nikae kama kilaza nagharamikia upumbavu wako? Si ndio?