Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

Mambo vipi apo nyuma ya keyboard, ugonile.!!

Kiukweli zama zimebadilika sana

ni ajabu sana wanawake sikuiz ndo wanaitisha mechi kwa kisingizio kuwa mnatest kama yaliyomo yamo kwa wachumba zenu ili mpate headlines za kuwasimulia shoga zenu.

sasa leo nawaibia siri ukitaka mchumba wako awe siriaz na suala la kukuoa mnyime tendo mwambie mpaka ndoa. Hii ni kwa wale namba E na D zilizochangamka

Kwa wale namba A mpaka C hama mtaa ikibidi mkoa [nenda sehemu ambayo hawakujui kabisa] kisha badili lifestyle yako, kama ulikua mtu wa pombe sana na kujiachia acha, vaa kwa adabu mwanamke kujisitiri, anza kwenda kanisani/msikitini na kwenye matukio kama sherehe za harusi and the like sio kwenye shughuli.

Asikwambie mtu hakuna mwanamke bila mume and vice versa. Mtu yeyote anaekwambia kuwa ndoa sio muhimu na haina maana mfutilie mbali kabisa ikiwezekana mtupie majini ata 7 yamshikishe adabu.

Mwisho kabisa kuwa submissive kwa mchumba wako/utaempata

Ni hayo tu
Hakuna mwanaume bila pesa mkuu ila kwa wanawake sijui
 
Aisee ni ngumu sana kumpata unaeona yuko sawa... kunammoja alikua kanyooka vizuri tu, sijui shetani gani akaingilia nikawa na muignore bila sababu...
Yaani hata akiandika jina langu kwa herufi ndogo namletea shida siku nzimaa...
Nimemkumbuka saana
 
Miaka hii hakuna wake mkuu ni malaya tu wanageuzwa wake.

Na kahaba kumfanya mke ni changamoto sana kwa kifupi haiwezekani

Oa lakini at your own risk litakalokuta na likukute
Acha kabisa kuna dada mmoja mtaani alikuwa ametulia kila mwanaume anakula za uso tukasena eeeeh huyu si ndiyo mke, siku ya siku akakutwa kwenye danguro akapigwa picha kama zote kuja kuletwa mtaani alihama fasta acha kabisa ukimuona mwanamke mgumu fuatilia kwanza
 
Acha kabisa kuna dada mmoja mtaani alikuwa ametulia kila mwanaume anakula za uso tukasena eeeeh huyu si ndiyo mke, siku ya siku akakutwa kwenye danguro akapigwa picha kama zote kuja kuletwa mtaani alihama fasta acha kabisa ukimuona mwanamke mgumu fuatilia kwanza
Kama sio bikira huyo ni malaya

Usijisumbue hata kutafuta kama anajiuza au kuangalia simu yake kama ana mabwana wengine zaidi yako
 
Binafsi ninatafuta mke wa kuoa more than 2 years tangu niamue hili ila bado sijamuona. Nakutana na wanawake wanakatisha tamaa kwa kweli.

Kupata mke anaejielewa ni kazi ngumu kwa mwanaume kuliko kutafuta pesa
punguza vigezo utampata,,ila huwezi pata perfect bwana,, mengne utamfunza weye.
 
Kama Wewe upo hatua fulani ya ufahamu wa juu ,

Zingatia haya mambo tafuta mwanamke yeyote mwenye uwezo Wa kufundishika na kufata falsafa zako utakazompa um-train then ukiona anamwelekeo mzuri muoe

Nchi yetu ukiwa value man kupata value woman ni ngumu Sana

Kuna wanawake wazuri Sana wa sura na maumbo Ila hawana presence


doesn't matter she is ugly or beuty when she is teachable she is deserve to be married.
Perfect perfect perfect
 
Mambo vipi apo nyuma ya keyboard, ugonile.!!

Kiukweli zama zimebadilika sana

ni ajabu sana wanawake sikuiz ndo wanaitisha mechi kwa kisingizio kuwa mnatest kama yaliyomo yamo kwa wachumba zenu ili mpate headlines za kuwasimulia shoga zenu.

sasa leo nawaibia siri ukitaka mchumba wako awe siriaz na suala la kukuoa mnyime tendo mwambie mpaka ndoa. Hii ni kwa wale namba E na D zilizochangamka

Kwa wale namba A mpaka C hama mtaa ikibidi mkoa [nenda sehemu ambayo hawakujui kabisa] kisha badili lifestyle yako, kama ulikua mtu wa pombe sana na kujiachia acha, vaa kwa adabu mwanamke kujisitiri, anza kwenda kanisani/msikitini na kwenye matukio kama sherehe za harusi and the like sio kwenye shughuli.

Asikwambie mtu hakuna mwanamke bila mume and vice versa. Mtu yeyote anaekwambia kuwa ndoa sio muhimu na haina maana mfutilie mbali kabisa ikiwezekana mtupie majini ata 7 yamshikishe adabu.

Mwisho kabisa kuwa submissive kwa mchumba wako/utaempata

Ni hayo tu
nimemsomea mdada hiyo sentens ya kumnyima mtu eti hadi ndoa alichonijibu ni kuwa, unamnyima mtu kitumbua wakati akizunguka nyumba ya pili tu anapewa fasta
 
Back
Top Bottom