GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hapana chezea hii nchi aiseeMwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?
Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?
kumekucha.Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?
Ni ishara kwamba hapoi na hana suluhu na fisiemuMwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?
Ushukuru wewe unatumia ID hawawezi kukutafuta humu unawo wakwaza.Siku wakikujua watakufata huko huko msibaniMwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?
Rudi kwenye uhalisia wako Acha kuigiza. Wewe si mgeni wa matendo ya vyombo vya Dola vya nchi hii. Huwa havitaki kazi ngumu lakini ukijifanya soft target wanakupoteza. Unayemuongelea amenusurika miezi michache tu iliyopita na wengine mkaungana na watesi wake kusema amejiteka.Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?
Umesahau juzijuzi alitekwa na kunusurika. Sasa si kujipeleka ktk domo la mamba kama angehudhuria mazishi? Maisha yamebadilika sana. Watu wanaishi kwa tahadhari toka utekaji umeanza.Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?