GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye ni Mtoto wa marehemu Prof. Philemon Sarungi amesema miongoni mwa sababu iliyomfanya kushindwa kuhudhuria mazishi ya baba yake ni pamoja na Suala zima la Usalama wake.
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?
Maria amesema hayo leo Machi 10, 2025 wakati alipotoa salaam kwa njia ya mtandao wakati wa ibada ya kuaga Mwili wa baba yake Marehemu Prof.Philemon Sarungi ambaye alifariki Dunia Machi 05, 2025 nyumbani kwake Osterbay Jijini Dar es Salaam kufuatia Maradhi ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua.
@mariastsehai
Chanzo: manaratv
Hivi Dada Maria Sarungi unataka kusema wakikutaka Kweli watakukosa? Nakubali IQ yako ila Siku hizi Sikuelewi Dada Ok?