Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Never brother, huo muda ni mwingi, na hata hivyo vitendo sivi husuduKumbe ndio maana mimi sipati demu, mwanamke tu unamhangaikia purukushani zote hizo? (No offense intended).
Mimi ukizima simu mara moja tu biashara imeisha, huwa siendani na wale wanaoplay hard to get.
Intelligent businessman , can you play all the drama played by Chizi Maarifa ?
Na huenda Pisi Kali iliyotigoliwa ikawa ni wewe mwenyewe JF kiboko [emoji2960]Hapa nasubiria ID nyingine ifungue uzi ikilalamika kuliwa tigo baada ya kuahidiwa M3 ya mtaji na kutorokwa hotelini.
Jf bhana[emoji706][emoji706]
Nlitamani sana nitulie naye. Amekuja kuharibu mwishoni. Nlitaka nimpende anipende. Sema ana ujanja wa kishamba sana.Hifai kuonewa huruma uliyataka mwenyewe si kwa kudata kiasi hicho.
Angalau umelipiza kisasi moyp umetulia labda
Kwa jf lolote linawezekana. Yaani unaweza kuta ni wewe pia ndio umetendew huo unyama. Jf sio poa.Na huenda Pisi Kali iliyotigoliwa ikawa ni wewe mwenyewe JF kiboko [emoji2960]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
NIkipata wa kunituliza mi natulia sana. Nataka tu uhakika wa papuchi napohitajiHutuliii tatizo
Ni kweli, hii stori haina uhalisia.Never brother, huo muda ni mwingi, na hata hivyo vitendo sivi husudu
Huu uji wa pilipili mangaCHAI AU UJI
Umeona eeeeeh.... Itajulikana tu asipokuwa makini huyu doggieNa huenda Pisi Kali iliyotigoliwa ikawa ni wewe mwenyewe JF kiboko [emoji2960]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Hapo unyama ni upi?Kwa jf lolote linawezekana. Yaani unaweza kuta ni wewe pia ndio umetendew huo unyama. Jf sio poa.
Unyama hapo ni kumtoroka mtu hoteliniHapo unyama ni upi?
Kutoa tigo,
Au kuchukua hela za mtu halafu huendi?
Vitundu au kitundu..🤣🤣cha nyuma, kazi kweli kweliBaada ya kusoma hapa nimekumbuka kuna pisi moja iliuliza ke wanaopewa mitaji/kujengewa nyumba/kupewa magari mnak ya ziada au ni hivihivi vitundu.....
Huyu nae ana visanga sana humu kama ni chai atakua na lengo lake kwa upande wa wanawake.Kwani huwa unaamini chai za mtoa mada?
Nimeweka machaguo A na B tu, wewe ukajitungia C na kuweka kwamba ndio jibu.Unyama hapo ni kumtoroka mtu hotelini