Dada Shilole kwa hili hapana..!


muwe mnaangaalia IQ ya mtu kabla ya kulaumu....ndio upeo wake huo....mtakuja kulaumu hadi wendawazimu humu....i was somewhere nikamsikia wakati anasaidiwa kujaza visa application......msameheni tu yuko empty upstairs
 

haah! Haah! Haah! Kwel hii kubwa kuliko,
 
Huyu dada tusimlaumu sana Uwezowake ndoulipofikia,ana IQ chini ya 70 so kwake yeye ni sawa tu.
 
je kuna mtu alimuona akihojiwa na mboni ....yaani zero kabisa hajui kujieleza hata kidogo!
 
mkuu nikisema kila siku namaanisha mara kwa mara

Unaweza hata kuwa Pilot au assistant au hata cabin member kk kuwa angani kila siku still possible kwani local flights si ziko angani kila siku? Kwa wasiokuelewa watakuquestion ila ni possible mtu kuwa angani kila siku! So uko right mkuu wanaokupinga ubishi ni culture yao
 
Si nasikia hata huko Washington aliwahi kwenda Super Market akiwa kavaa Taulo tu kifuani eti kuulizwa anadai huku watu hawana time na mtu kila mtu na time zake! Kweli masikini akipata ------ hulia mbwata na huyu hajapata bado ila mitako tayari inalia Mbwata.
 
teh teh hamna lolote hamkawii kusikia amepeleka madawa huko tunaanza kusikia mmoja mmoja
 

shilole ana elimu gani? alikotoka-background yake......ukishajua unajinyamazia!!
 
mlimsikia jana kwenye kipindi cha ala za roho, alikuwa na snura? Anatafuta bifu za kutafuta kwa snura@ kwel majanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…