Nilichogundua mtoa mada anatatizo la Ubahili au Hajui kucheza na saikolojia ya wanawake.
Alitakiwa
kuiseti attention ya uyo mwanamke, mpaka ahisi kua uyu mtu ana dalili za kua na hisia za kimapenz na Mimi.
Kias kwamba ata hujaomba namba wee mwenyewe unajua hApa nitakubaliwa au NitATUPIWA tu VIRAGO VYANGU.
Sio ile,
ABRUPTLY,
UnaMPIGIA mdada uNAMSHTUKIZA.
Mpk Mdada wa watu anafikiri
"NI NINI HIKI, NIMEVAMIWA AU?[emoji848]"
Aisee,
Nikwambie kitu mtoa mada,
Ukishajijua unamhitaji mwanamke,
Basi mtengee bajeti na usiogope kuspend kwa ajili yake.
As long as unampenda na unahitaji kua nae.
ULICHOTAKIWA KUFANYA,
ZILE encounter alzokua unakutana nae ulitakiwa kurise attention yake, ajihisi kua yeye ni someone special kwako.
Sio ile unakaa na mdada wa watu, unampigisha tu stori wee mpk mate yanamkauka mdomoni, afu ata kinywaji tu humnunulii.
Afu ule MDA anakuaga anaondoka,
Na wewe unaitikia TU dry kiboya boya
"KWEHERI, SEE YOU TOMORROW"
Pumbav kabisa
"See you tommorow" ya wapi hata nauli ya BAJAJI hujamuachia[emoji21]
Mtoto wa watu,
Unamuacha mikono mitupu mpk anajutia muda alioupoteza na wewe Bora ata angetembeza matembele mitaani angeshaingiza elfu 2 ya Vocha.
Aisee,
WANAUME TUJIFUNZE KUA ROMANTIC,
Mambo ya Mahusiano hayana vyama,
Aya Mambo yenu ya kuendekeza UCHADEMA UCHADEMA Kwenye mahusiano,
Yaani kila kitu ni Nguvu nguvu TU full kupinga pinga yatakuja kuwaletea shida Kama hizi, [emoji23](joke)
Unakuta vijana
Mnakaa mnajisifia huo ujinga ujinga wenu sijui mnajiita Sijui WASOLID, mara sijui UWABATA.
Aisee,
MTAKUJA KUFA NA huo UGUMU WENU, PAMBAF[emoji3525]
Ohoo, shauri zenu[emoji2]