Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Sio kawaida mtu usiyemfahamu awe na namba yako lazima uulize ameipata wapi? Hata kama ana miaka 40+,na yupo single.Tabia ya kugawa namba za watu bila ruhusa ya muhusika ni mbaya.Je kama wewe ni stalker je?Huyo alokupa namba amefanya makosa!

Kitu kingine yaani wewe umekosa ujasiri hata wa kuomba namba mpaka upewe na mtu mwengine!Tatizo ni nini?
Tatizo umri wake
 
Sasa we badala ufurahie unatafutwa af msiifanye kuwa big deal! Akikupigia mwanaume ambaye nawewe ulikua unamzimia wala hutakomalia mambo sijui ya namba kaitoa wapi ila kila kitu kinaenda smooth like butter!

Tabu tunapewa sie ambao hatuna mivuto! Unamjua kabisa ni Juma ndio kakutafuta ila kwa kuwa ni shambaboy unaona hastahili kuwa na wewe ndio unamtia unyonge kwa kukomalia nani kakupa namba!

Wanazingua kinoma hawa yaani, alfu wananikomalia sijui oooh nimseme aliyetoa namba. Kuwa honest, sitamtaja hata manzi akinikubali. Nitakuja kumtaja mbeleni sana tena kwenye mazingira ambayo mwenye namba hata jutia mie kuwa na namba yake.
 
Alfu wewe unataka mimi niwe chanzo cha Chaos seriously?? Hunitakii mema rafiki [emoji28]
Ama unaweza usimwambie ulipoipata namba ila trust me breaking the ice ya maongezi nae itakupa mtihani kujenga connection/rapport niite

ishanikuta.,
Kaka kapewa namba huko
Simu nyingiii watsap nini naona huyu nani mbona simjui anafosi tu tuonane tuonanee tuongee tuongee
Namba umetoa wapi kimyaaa

nkaona sio kesi kiungwana heri nimsikilize
Yes niambie unasemaje akatiriririka wee
Nkamuambia nashukuru ila sitaweza bcz of a,b,c
That was the end of it
Sikupenda...approach ile...
 
Wanazingua kinoma hawa yaani, alfu wananikomalia sijui oooh nimseme aliyetoa namba. Kuwa honest, sitamtaja hata manzi akinikubali. Nitakuja kumtaja mbeleni sana tena kwenye mazingira ambayo mwenye namba hata jutia mie kuwa na namba yake.
Unamtajia akiwa kashaliwa
 
Jamaa alichofeli kashindwa kuomba namba kijanja wakati anapataga Airtime ya kuongea na manzi! Ni domo zege msela

Mzee mie sio domo zege trust me, Sema nilikuwa nikitaka kumwambia tubadilishane namba Moyo kama ulikuwa unasita ukizibgatia muda mwingi hata wakati tu aoiga story rafiki zake walikuwa wanakuja na wakati mwingine yeye mwenyewe anaenda anaahidi kurudi na akirudi anakuta labda nishaondoka. Kusema ukweli, huwa sitakagi kuomba namba kwa mtu ambaye sina hata chembe za detail zake.
 
Sio kawaida mtu usiyemfahamu awe na namba yako lazima uulize ameipata wapi? Hata kama ana miaka 40+,na yupo single.Tabia ya kugawa namba za watu bila ruhusa ya muhusika ni mbaya.Je kama wewe ni stalker je?Huyo alokupa namba amefanya makosa!

Kitu kingine yaani wewe umekosa ujasiri hata wa kuomba namba mpaka upewe na mtu mwengine!Tatizo ni nini?
Domo zege hilo
 
At first sight,
Nilivosoma TU uzi kua kaenda kuomba namba kwa shoga ake.

Nikaishia tu hapo hapo,

Nikajua kabisa tayar Mtoa mada keshatutoka, sio MWENZETU tena[emoji4]

Wahuni mmekaza mpaka ni shida ..!

Ooookay, nakubali nilifeli au nilizingua kutomface moja kwa moja mhusika japo I was about to ..![emoji3][emoji3]
 
Ilikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali? Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba

Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?
Hawa ndy vijana wanaopakaa mafuta mpaka matakoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee mie sio domo zege trust me, Sema nilikuwa nikitaka kumwambia tubadilishane namba Moyo kama ulikuwa unasita ukizibgatia muda mwingi hata wakati tu aoiga story rafiki zake walikuwa wanakuja na wakati mwingine yeye mwenyewe anaenda anaahidi kurudi na akirudi anakuta labda nishaondoka. Kusema ukweli, huwa sitakagi kuomba namba kwa mtu ambaye sina hata chembe za detail zake.
Huo muda anaoaga ndio unamkamatia mkono unasema nae chapu hapo hatakua na akili ya kuuliza mengi sababu alishapanga anasepa.
 
Mwanaume kulaumu Laumu ovyo wanawake Ni ishara ya kutokujiamini.

Wanaume na sisi tuache sana lawama, Tutafute pesa.
Mambo mengine tuiachie natural selection ifanye kazi yake.

Tusijiwekee Sana guarantee ya kukubaliwa kila tunapomhitaji mwanamke.

Wanawake nao ni binadamu wanahaki na utashi wa kuchagua wale wanaowapenda .

UKIKATALIWA USIWEKE sana NONGWA, Utakuja kufa Depression.

Na dunia yenyewe hi tunapita,
Afu maisha yenyewe Aya mafupi unashindwa ata kuyafurahia.

Kiukweli,
Usitake kunambia Ndani ya wanawake billion 5 duniani, huwezi kosa mwanamke 1 atakae kuelewa na wewe ukamuelewa.

Haya,
Mambo ya kuforce force mahusiano na watu wasiowapenda, MWISHO wa siku mnatujazia server na nyuz zenu za kulia Lia mnatendwa kila mara.

Nimekuelewa sana Mkuu..! Sema nini kausha nimekusoma.
 
Suala ni kwamba ilikuwa nimuombe ila tatizo wakati ninapotaka kumuomba inakuwa labda yupo na rafiki zake anakuambia nakuja ngoja nimalizane na wenzangu hivyo..! Sasa niliporudi pale yule rafiki yake akaniambia hayupo ila kama nina shida naye atanisaidia namba..! Na akasema nisimtaje tu kama amenipa namba. [emoji28][emoji28]
Tatizo Lako mkuu unakamia mno mahusiano,

Kulikua na ulazima gani, ulazimishe siku Iyo iyo uwasiliane nae.

Mpaka ukaichukue NAMBA kwa shoga ake wkt kesho yake yupo,
Na uwezekano wa kuonana nae face to face upo.

Kwani
Uliambiwa kesho asubh ataamka amekufa?

Kwa Ego yako nnavoiona, sio ajabu kwa ukamiaji huu
Angekukubalia siku Iyo iyo ya Kwanza lazima ungelazimisha ukasex nae,

Na Angegoma kukupa,
bado Ungetuletea Uzi humu ukilalamika
"mwanamke mwenye Miaka 28 kaninyima papuchi siku ya KWANZA ya mahusiano".
 
Tatizo Lako mkuu unakamia mno mahusiano,

Kulikua na ulazima gani, ulazimishe siku Iyo iyo uwasiliane nae.

Mpaka ukaichukue NAMBA kwa shoga ake wkt kesho yake yupo,
Na uwezekano wa kuonana nae face to face upo.

Kwani
Uliambiwa kesho asubh ataamka amekufa?

Kwa Ego yako nnavoiona, sio ajabu kwa ukamiaji huu
Angekukubalia siku Iyo iyo ya Kwanza lazima ungelazimisha ukasex nae,

Na Angegoma kukupa,
bado Ungetuletea Uzi humu ukilalamika
"mwanamke mwenye Miaka 28 kaninyima papuchi siku ya KWANZA ya mahusiano".

Hahaha .! Nisinge fanya hivyo [emoji16]
 
Tatizo Lako mkuu unakamia mno mahusiano,

Kulikua na ulazima gani, ulazimishe siku Iyo iyo uwasiliane nae.

Mpaka ukaichukue NAMBA kwa shoga ake wkt kesho yake yupo,
Na uwezekano wa kuonana nae face to face upo.

Kwani
Uliambiwa kesho asubh ataamka amekufa?

Kwa Ego yako nnavoiona, sio ajabu kwa ukamiaji huu
Angekukubalia siku Iyo iyo ya Kwanza lazima ungelazimisha ukasex nae,

Na Angegoma kukupa,
bado Ungetuletea Uzi humu ukilalamika
"mwanamke mwenye Miaka 28 kaninyima papuchi siku ya KWANZA ya mahusiano".
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
I think huyo dada ni politee.. mimi ndo kabisaaa...

Think like a man. Dunia ya sasa ilivyoharibika? Nani anajua una kisa gani na mimi? Kama unanistalk je? Hayo majibu ningekupa ungefurahi.. kiwa na 28+ ndo nafasi ya kudate wavulana?

Kama ujasiri wa kumuimba namba tuu huna utapata wapi ujasiri wa kumuuliza hata age yake? Halafu ni boys only wanaoblast ladies juu ya age. Real respect... akili za kivulana zinawatesa sana vijana. Hata angekua na 60 years ndo awe na maswekeni? [emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom