Umeamua kutupa taulo mkuu??[emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]Wahuni mmekaza mpaka ni shida ..!
Ooookay, nakubali nilifeli au nilizingua kutomface moja kwa moja mhusika japo I was about to ..![emoji3][emoji3]
Naomba tafsiri Elimu yangu ni ya kuungaunga Kama Bashite
Tell em bruhh👏🏽Tatizo Lako mkuu unakamia mno mahusiano,
Kulikua na ulazima gani, ulazimishe siku Iyo iyo uwasiliane nae.
Mpaka ukaichukue NAMBA kwa shoga ake wkt kesho yake yupo,
Na uwezekano wa kuonana nae face to face upo.
Kwani
Uliambiwa kesho asubh ataamka amekufa?
Kwa Ego yako nnavoiona, sio ajabu kwa ukamiaji huu
Angekukubalia siku Iyo iyo ya Kwanza lazima ungelazimisha ukasex nae,
Na Angegoma kukupa,
bado Ungetuletea Uzi humu ukilalamika
"mwanamke mwenye Miaka 28 kaninyima papuchi siku ya KWANZA ya mahusiano".
Umeamua kutupa taulo mkuu??[emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]
[emoji106]iyo tabia uache.Ahsante kwa kunifumbua, Okay nakubali nilifeli kuchelewa kuchukua namba kutoka kwa mhusika. Ila suala la kumtajia aliyenipa namba siwezi fanya Bro, I can’t break the promise na pia naogopa kusababisha Chaos
Hahahaha yule kikojozi?? Bora ungenishauri nimtafute Rasi SimbaMpigie simu Musiba, Chief editor wa Tanazanite Magazine
hata kama ana miaka arobaini she still has the righ to ask how you got her number kwa sababu namba yake au mawasiliano yake ni privancy yake she has the right to decide nani awe na namba yake na nani asiwe nayo
Umri usiwe sababu ya kumkosesha mtu uhuru au usiri na mawasiliano yake
Kama kweli unahisi unamuhitaji huyo binti, take a step foward, no matter how hard it is,usitumie shortcut za marafiki au watu wa pembeni, ukimtafuta in person ina nguvu na ushawishi, kama ni namba muombe yeye na sio madalali
Baada ya KULA nini mkuu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]iyo tabia uache.
Mwanaume halisi namba unaichukua mwenyewe.
Tena,
Ukiwa Mwanaume SHUPAVU,
namba Utaombwa upewe baada ya KULA[emoji4]
Narudia Tena,
NAMBA "Utaombwa wewe" upewe baada ya KULA.
HahahahaMkuu wasimbe wanashambulia kila kona ya uwanja .! [emoji28][emoji28]
Japo real ladies will wait for the Man to make the move...[emoji106]iyo tabia uache.
Mwanaume halisi namba unaichukua mwenyewe.
Tena,
Ukiwa Mwanaume SHUPAVU,
namba Utaombwa upewe baada ya KULA[emoji4]
Narudia Tena,
NAMBA "Utaombwa wewe" upewe baada ya KULA.
hata kama ana miaka arobaini she still has the righ to ask how you got her number kwa sababu namba yake au mawasiliano yake ni privancy yake she has the right to decide nani awe na namba yake na nani asiwe nayo
Umri usiwe sababu ya kumkosesha mtu uhuru au usiri na mawasiliano yake
Kama kweli unahisi unamuhitaji huyo binti, take a step foward, no matter how hard it is,usitumie shortcut za marafiki au watu wa pembeni, ukimtafuta in person ina nguvu na ushawishi, kama ni namba muombe yeye na sio madalali
[emoji2][emoji2] punguza kukamia mno,Wahuni mmekaza mpaka ni shida ..!
Ooookay, nakubali nilifeli au nilizingua kutomface moja kwa moja mhusika japo I was about to ..![emoji3][emoji3]
Umejitakia mwenyewe chaos kwa kupenda short cut!Umechukua easy way out na ina consenquenses!So you should just deal with resolving the messy situation you put yourself into!Alfu wewe unataka mimi niwe chanzo cha Chaos seriously?? Hunitakii mema rafiki [emoji28]
Tatizo ur assuming she is 'thirsty'Umeeleweka Madamme ..!
At 28, mennn, She should be focused at reason why I collected her number and not who gave you my number ..! Kwa sababu akisema sitaki mazoea naishia hapo huwa silazimishi namuacha kwa amani tu. Unakomaa kujua aliyenipa namba, ukishamjua baadae iweje ?? Ukamchambe au niaje niaje hapo ?
Kwani ulishindwa nini kumuomba namba wewe mpaka uombe kwa rafiki yake? Hata ningekua mimi cha kwanza ntakuuliza umepataje namba yangu halafu baada yapo ndio nikuulize una shida ganiUmeeleweka Madamme ..!
At 28, mennn, She should be focused at reason why I collected her number and not who gave you my number ..! Kwa sababu akisema sitaki mazoea naishia hapo huwa silazimishi namuacha kwa amani tu. Unakomaa kujua aliyenipa namba, ukishamjua baadae iweje ?? Ukamchambe au niaje niaje hapo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamtajia akiwa kashaliwa
Kabisa,Japo real ladies will wait for the Man to make the move...
Utajuaje Bwana kweli anakuhitajii hehe..
mtt wa kike ni kutuliaa
si CHAKULA tu mkuu[emoji2]Baada ya KULA nini mkuu??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]