Acha bana hizo mdada mbona una cha thaman sana kuliko hiyo namba.Ok lakini kwangu mimi sio kawaida au bora ujitambulishe mimi fulani nimepata nambaako kutoka kwa fulani ningependa tujuane or watsoever lakini sio blah blah coz unaulizwa namba umepata wapi...
Huyu jamaa atakuwa domo zege. Mtu unapiga naye stori kila mara! Unakuja kuomba namba kwa rafiki yake? Na lengo la kuomba namba ni kutongoza? Umetuabisha sana sisi mabaharia.
Ni ustaarabu ukjitambulishe na ukisema ulikoipata hio namba!Ikisha ndo unaulizwa unataka nn😁Acha bana hizo mdada mbona una cha thaman sana kuliko hiyo namba.
We niulize tu unataka nn
Ni ustaarabu ukjitambulishe na ukisema ulikoipata hio namba!Ikisha ndo unaulizwa unataka nn[emoji16]
Kwa maana hio ukitaka namba upewe mbususu?sasa ndo keshakushtukizia na hakutaka kukupa 😅 ila kuna kimbelembele keshaigawa!Hivi kwa mfano nimekubali sasa nimkuambia namba yako nimeitoa kwa rafiki yako Beata wa Tegeta na dhamiri ya kuchukua namba yako nataka Mbususu..! Hivi utanipa Mbususu kweli ? Acha basi kutuzingua wenzio
🐒🐒🐒Acha basi kunichawia Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa maana hio ukitaka namba upewe mbususu?sasa ndo keshakushtukizia na hakutaka kukupa [emoji28] ila kuna kimbelembele keshaigawa!
[emoji205][emoji205][emoji205]
Suala sio kumface, jana nilienda tunapokutanaga nikitegemea nitamkuta sikumkuta nikamwambia rafiki yake bhana yule rafiki yako nimempenda. Sasa yeye akasema ni jambo jema, nikamwambia vipi naweza kumpata wapi nikimkosa hapa akasema hafahamu labda anisaidie namba yake kwa sababu tubapigaga stori mara kwa mara hatakuwa na utata. Sasa wewe tumekumushana ukanimumbuka na nimekuambia siku hiyo nilitarajia utakuja hujaja kwenye glosari ninetafuta bamna ya kuwasiliana nawewe unakomaa nikuambie aliyenioa namba yako.
Ubishi wako utakuponza!Toa ushirikiano kama kweli unamtaka huyo dada na hata yeye atakuchukulia serious.Kila la kheri.Wengine ni wakongwe kwenye hiyo sekta mama.! Tumepitia magumu zaidi ya haya na mbususu ikapigwa. Ila kitu ambacho hakibadiliki ni kwamba hata unikamue Kende zangu siwezi mtaja aliyenipa namba, that’s Hood’s Code.
NimeshakutumiaNaomba namba yako rafiki
Ni ustaarabu ukjitambulishe na ukisema ulikoipata hio namba!Ikisha ndo unaulizwa unataka nn😁
Ndio maana nikasema aloitoa hio namba anakosa kwasababu huyo dada amemuamini na amevunja uaminifu kugawa namba ya watu bila idhini ya muhusika.Kistaarabu huyo aloombwa namba alitakiwa amuulize muhusika kama ni sawa fulani nikimpa namba yako!Unajua hilo swali ni gumu sana kwa sisi madomo zege ukute aliyetoa namba hataki ajulikane
Kiuhalisia siyo ustarabu.Ndio maana nikasema aloitoa hio namba anakosa kwasababu huyo dada amemuamini na amevunja uaminifu kugawa namba ya watu bila idhini ya muhusika.Kistaarabu huyo aloombwa namba alitakiwa amuulize muhusika kama ni sawa fulani nikimpa namba yako!
Shule zimefungwa Mkuu tutegemee siredi nyingi kama hiziIlikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali?
Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba
Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?
Kwa hiyo ukimwambia ulipoitoa namba utapungukiwa nini?huu ni utoto wakati kama umemfata mwenye 28+ wewe utakuwa kwenye 30 huko,mtu mzima wewe
Acha kuplay hide and seek,kama ulishindwa kumuomba namba yeye moja kwa moja atleast mwambie ulipoipata...umri wake usikufikirishe sana
shule zimefungwa Mkuu tutegemee siredi nyingi kama hizi
Ndio maana nikasema aloitoa hio namba anakosa kwasababu huyo dada amemuamini na amevunja uaminifu kugawa namba ya watu bila idhini ya muhusika.Kistaarabu huyo aloombwa namba alitakiwa amuulize muhusika kama ni sawa fulani nikimpa namba yako!
Ntaku confess shauri'ako...😎😎Mother confessor [emoji8][emoji8][emoji8]