Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Naungana na waliosema kwamba wewe Ni Mr domo zege
 
Hebu rudia kusoma ulichokiandika hapa.
 
Kanuni yangu, namwambia shida yangu ana kwa ana. Nampa maelekezo. Yeye ndiye wa kusema nimpe namba, siyo mimi nimwombe namba yeye. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ilikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali?
Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba

Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?
Ningemjibu tu..."kanipa mdada flan anapangisha gesti house mtaa wa pili hapo,anasema ww ni mteja wake sana pale"
 
Ok lakini kwangu mimi sio kawaida au bora ujitambulishe mimi fulani nimepata nambaako kutoka kwa fulani ningependa tujuane or watsoever lakini sio blah blah coz unaulizwa namba umepata wapi...
Mimi huwa siwaaambii namba nimepata wapi

Naweza kukuambia nilipo Pat's namba mkaenda korofishana na Huyo alienipa namba au

Mkapanga yenu mnizunguke mnigeuze danga .

Bora usijue udili na Mimi perpendicular [emoji1]
 
Mimi huwa siwaaambii namba nimepata wapi

Naweza kukuambia nilipo Pat's namba mkaenda korofishana na Huyo alienipa namba au

Mkapanga yenu mnizunguke mnigeuze danga .

Bora usijue udili na Mimi perpendicular [emoji1]

Binafsi sitakuja kumwambia nani kanipa namba yake. Sitaki kugombanisha watu
 
Kanuni yangu, namwambia shida yangu ana kwa ana. Nampa maelekezo. Yeye ndiye wa kusema nimpe namba, siyo mimi nimwombe namba yeye. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kwamba yeye unaombwa namba?? Huwa unawaambia unafanya kazi Ofisi ya Rais ?? Huenda anaomba umsaidie kupata kazi.
 
Naungana na waliosema kwamba wewe Ni Mr domo zege

Sio domo zege Mkuu, trust me, huyu manzi mara nyingi wakati tulipokuwa tunapiga stori alikuwa wanakuja rafiki zake. Ukumbuke ni Glosari na ipo karibu na saluni ya Kike. Kumtumia rafiki yake ni njia pia ya kupata namba…! Kuna wengine wanapenda akiona umefanya efforts kuitafuta namba yake, It’s a Perspective issue.
 
Tuanzie kwanza,kwa nn wewe umepungukiwa nguvu za kuombea namba kwa wanawake?

Sijapungukiwa Mkuu..! Alfu mbona mnaniandama utazani nimemtukana ama vipi ??
Kingine ni kwamba, Kama nimekupigia ukaniulizia wewe nani nikajitambulisha ukanikumbuka. What’s so important to know the person who gave me yournumber?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…