Dada una miaka 28+ unatoa wapi ujasiri wa kuuliza namba yangu umepata wapi?

Tatizo umri wake
 

Wanazingua kinoma hawa yaani, alfu wananikomalia sijui oooh nimseme aliyetoa namba. Kuwa honest, sitamtaja hata manzi akinikubali. Nitakuja kumtaja mbeleni sana tena kwenye mazingira ambayo mwenye namba hata jutia mie kuwa na namba yake.
 
Alfu wewe unataka mimi niwe chanzo cha Chaos seriously?? Hunitakii mema rafiki [emoji28]
Ama unaweza usimwambie ulipoipata namba ila trust me breaking the ice ya maongezi nae itakupa mtihani kujenga connection/rapport niite

ishanikuta.,
Kaka kapewa namba huko
Simu nyingiii watsap nini naona huyu nani mbona simjui anafosi tu tuonane tuonanee tuongee tuongee
Namba umetoa wapi kimyaaa

nkaona sio kesi kiungwana heri nimsikilize
Yes niambie unasemaje akatiriririka wee
Nkamuambia nashukuru ila sitaweza bcz of a,b,c
That was the end of it
Sikupenda...approach ile...
 
Wanazingua kinoma hawa yaani, alfu wananikomalia sijui oooh nimseme aliyetoa namba. Kuwa honest, sitamtaja hata manzi akinikubali. Nitakuja kumtaja mbeleni sana tena kwenye mazingira ambayo mwenye namba hata jutia mie kuwa na namba yake.
Unamtajia akiwa kashaliwa
 
Jamaa alichofeli kashindwa kuomba namba kijanja wakati anapataga Airtime ya kuongea na manzi! Ni domo zege msela

Mzee mie sio domo zege trust me, Sema nilikuwa nikitaka kumwambia tubadilishane namba Moyo kama ulikuwa unasita ukizibgatia muda mwingi hata wakati tu aoiga story rafiki zake walikuwa wanakuja na wakati mwingine yeye mwenyewe anaenda anaahidi kurudi na akirudi anakuta labda nishaondoka. Kusema ukweli, huwa sitakagi kuomba namba kwa mtu ambaye sina hata chembe za detail zake.
 
Domo zege hilo
 
At first sight,
Nilivosoma TU uzi kua kaenda kuomba namba kwa shoga ake.

Nikaishia tu hapo hapo,

Nikajua kabisa tayar Mtoa mada keshatutoka, sio MWENZETU tena[emoji4]

Wahuni mmekaza mpaka ni shida ..!

Ooookay, nakubali nilifeli au nilizingua kutomface moja kwa moja mhusika japo I was about to ..![emoji3][emoji3]
 
Ilikuwa ni suala la kumjibu ulipoitoa namba yake,ni jeuri kuuliza hilo swali? Kwanza we jamaa ni mzembe kama umeshindwa kumface mwanamke ukaomba namba

Wavulana kwanini mna ujinga mwingi namna hii?
Hawa ndy vijana wanaopakaa mafuta mpaka matakoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huo muda anaoaga ndio unamkamatia mkono unasema nae chapu hapo hatakua na akili ya kuuliza mengi sababu alishapanga anasepa.
 

Nimekuelewa sana Mkuu..! Sema nini kausha nimekusoma.
 
Tatizo Lako mkuu unakamia mno mahusiano,

Kulikua na ulazima gani, ulazimishe siku Iyo iyo uwasiliane nae.

Mpaka ukaichukue NAMBA kwa shoga ake wkt kesho yake yupo,
Na uwezekano wa kuonana nae face to face upo.

Kwani
Uliambiwa kesho asubh ataamka amekufa?

Kwa Ego yako nnavoiona, sio ajabu kwa ukamiaji huu
Angekukubalia siku Iyo iyo ya Kwanza lazima ungelazimisha ukasex nae,

Na Angegoma kukupa,
bado Ungetuletea Uzi humu ukilalamika
"mwanamke mwenye Miaka 28 kaninyima papuchi siku ya KWANZA ya mahusiano".
 

Hahaha .! Nisinge fanya hivyo [emoji16]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
I think huyo dada ni politee.. mimi ndo kabisaaa...

Think like a man. Dunia ya sasa ilivyoharibika? Nani anajua una kisa gani na mimi? Kama unanistalk je? Hayo majibu ningekupa ungefurahi.. kiwa na 28+ ndo nafasi ya kudate wavulana?

Kama ujasiri wa kumuimba namba tuu huna utapata wapi ujasiri wa kumuuliza hata age yake? Halafu ni boys only wanaoblast ladies juu ya age. Real respect... akili za kivulana zinawatesa sana vijana. Hata angekua na 60 years ndo awe na maswekeni? [emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…